Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Hii mbona inawezekana mali ikawa bei rahisi sehemu fulani kuliko kiwandani ? Siongelei hivi vifaa sababu sijafanya research ila kuna scenarios zifuatazo vitu vinakuwa bei ndogo kuliko kwenye source:-Hata kama yapo, inawezekana ikawa zaidi ya China? Tuache uwongo na unafiki. Kuna kiwanda cha uzalishaji simu kariakoo? Toa ushauri wenye mashiko acha blaa blaa.
Moja mali za wizi
Mbili exclusivity mtu anayepewa uwakala / agent anaweza akapewa bei ndogo sana kutokana na kuwa na contract
Tatu buying power ya sehemu husika wanaweza kutengeneza vitu kulingana na watu husika mfano printers nyingi sana sana epson huwa wanatoa matoleo kwa ajili ya continent fulani tu na bei huwa inakuwa tofauti hence toleo la africa litakuwa cheaper kuliko Europe.
Nne economies of scale: mtu anayenunua mzigo mkubwa sana direct from the source atapewa bei ndogo sana kuliko wewe utakayekwenda kununua mzigo ule ule ila quantity ndogo