Msaada nataka kufungua Grosery.

Msaada nataka kufungua Grosery.

yam

New Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
1
Reaction score
0
je ni vitu gani hasa nitahitaji maana ni grosery ndogo tu sio kubwa sana wazoefu walioko humu ushauri wenu utakua msaada sana.. chochote unachojua kuhusu biashara hii kitakuwa msaada tosha kwangu asanteni..
 
Back
Top Bottom