Msaada: Nataka kuishitaki nyumba ya ibada iliyo jirani na nyumba yangu

Msaada: Nataka kuishitaki nyumba ya ibada iliyo jirani na nyumba yangu

Sina tafsiri sahihi ya hili neno "uhuru wa kuabudu" ila naona kama watu wanaitafsiri tofauti wanapitiliza kuna nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno anayotumia ni ya kuogopesha mpaka kuleta tahruki katika familia yangu naweza kumnukuu "amkeni mkaswali hizo nyumba zenu hapa naona kama ni makaburi na hicho kitanda ulicholalia ni kama jeneza hilo shuka ulilojifunika ndo sanda amkaaaaa amkaaa" haya maneno yakikuamsha usingizini huwezi kulala tena hii inapelekea familia nzima kushindwa kulala nafikiria kupata msaada wa kisheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rwanda Mkuu wao wa nchi alipiga marufuku kelele hizo na wako shwari kabisa. Aliwaambia kwani mtu hana saa kujua ni wakati wa kuabudu. Wananchi walimuelewa na amani ipo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mkuu hapo ukijaribu tu kuongea....kesho yake utasikia unaitwa Kafiri...ila wew waite Khorafi

Motivation_Ba.D
 
Mimi nakubaliana kabisa na uhuru wa kuabudu... ila kupigiana kelele sio sawa kabisa.
Sikubaliani na kelele za bar, misikiti, makanisa n.k. hii haiko sawa kabisa.. mimi nipo takaribani mita 700 na msikiti lakini wakati mwengine huwa nasikia. Sasa wale waliopo mita 10 inakuwaje.
Kuna adhana ya kwanza saa kumi... sasa huyu wa huku kila baada ya dk 15 anatoa update. Hivi sasa ni saa 10.15... swalaaaaa swalaaa swalaaa, hivi sasa ni saa 10.30 swalaaa swalaaa swalaaaa waislamu swalaaaa.... yaani ndio hivyo mpka 5.30 hadi 6.05.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina tafsiri sahihi ya hili neno "uhuru wa kuabudu" ila naona kama watu wanaitafsiri tofauti wanapitiliza.

K7na nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno anayotumia ni ya kuogopesha mpaka kuleta tahruki katika familia yangu.

Naweza kumnukuu "Amkeni mkaswali hizo nyumba zenu hapa naona kama ni makaburi na hicho kitanda ulicholalia ni kama jeneza hilo shuka ulilojifunika ndo sanda amkaaaaa amkaaa".

Haya maneno yakikuamsha usingizini huwezi kulala tena, hii inapelekea familia nzima kushindwa kulala.

Nafikiria kupata msaada wa kisheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukhanisi huo. Amkeni mkaswali. Unataka kumshtaki kwa faida yako mwenyeo. Kamshtaki uwone Kitakachotokea. Niko Tayari kufa na ww kwa lolote lile na liwe. Unafikiri Allah atakutizama t

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina tafsiri sahihi ya hili neno "uhuru wa kuabudu" ila naona kama watu wanaitafsiri tofauti wanapitiliza.

K7na nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno anayotumia ni ya kuogopesha mpaka kuleta tahruki katika familia yangu.

Naweza kumnukuu "Amkeni mkaswali hizo nyumba zenu hapa naona kama ni makaburi na hicho kitanda ulicholalia ni kama jeneza hilo shuka ulilojifunika ndo sanda amkaaaaa amkaaa".

Haya maneno yakikuamsha usingizini huwezi kulala tena, hii inapelekea familia nzima kushindwa kulala.

Nafikiria kupata msaada wa kisheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
hizo ni ibada za ajabu zilizopo duniani.Ukiwa na akili ya woga utaogopa tu.
 
Back
Top Bottom