Msaada: Nataka kuishitaki nyumba ya ibada iliyo jirani na nyumba yangu

Msaada: Nataka kuishitaki nyumba ya ibada iliyo jirani na nyumba yangu

Sina tafsiri sahihi ya hili neno "uhuru wa kuabudu" ila naona kama watu wanaitafsiri tofauti wanapitiliza.

K7na nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno anayotumia ni ya kuogopesha mpaka kuleta tahruki katika familia yangu.

Naweza kumnukuu "Amkeni mkaswali hizo nyumba zenu hapa naona kama ni makaburi na hicho kitanda ulicholalia ni kama jeneza hilo shuka ulilojifunika ndo sanda amkaaaaa amkaaa".

Haya maneno yakikuamsha usingizini huwezi kulala tena, hii inapelekea familia nzima kushindwa kulala.

Nafikiria kupata msaada wa kisheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli hao wanazingua kabisaaaa..! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh!. Huwezi kuishtaki nyumba ya Ibada, kwa sababu nyumba haina mdomo wa kunena hayo.

Badala yake, fatilia mzungumzaji wa maneno hayo. Kisha peleka mahakamani.

Anakutia hofu na kukukosesha Uhuru wa kufanya mambo yako.

Pole sana.
Unawashtaki vizur tu..! We shitaki peleka barua ya kutoka mahakani kwa huyo imamu yeye ndo atawataja hao wanaotoa kauli hizo...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakubaliana kabisa na uhuru wa kuabudu... ila kupigiana kelele sio sawa kabisa.
Sikubaliani na kelele za bar, misikiti, makanisa n.k. hii haiko sawa kabisa.. mimi nipo takaribani mita 700 na msikiti lakini wakati mwengine huwa nasikia. Sasa wale waliopo mita 10 inakuwaje.
Kuna adhana ya kwanza saa kumi... sasa huyu wa huku kila baada ya dk 15 anatoa update. Hivi sasa ni saa 10.15... swalaaaaa swalaaa swalaaa, hivi sasa ni saa 10.30 swalaaa swalaaa swalaaaa waislamu swalaaaa.... yaani ndio hivyo mpka 5.30 hadi 6.05.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kaka tunavumiliana sana kwenye haya mambo... Ila kwa wale yanayowahusu hawanaoni tatizo sio wote ila wengine hata kama hawaswali wanafikir wakikosoa watakuwa wanapata dhambi, si unajua watu tunavyoogopa vitisho vya kiimani.
Swala ni bora kuliko usingizi... Alafu sasa mara nyingi wanaosema hivyo saa hizo ni mababu, tayar walishauchapa usingizi ujanani sasa wamekuwa wazee usingizi ni wa manati, wanawaambia wengine usingizi si muhimu kuliko sala, aliyesema hivyo ni nani???
Hivi anajua kama usingizi ni afya kwa ubongo???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Funga 'anti missile system'... Hutokaa uwasikie tena.
Unajua sauti inasafiri kwa mawimbi.. So ukifunga system ya sound attenuation ikayalegeza mawimbi hayatokufikia.. Ni kama bomba la moshi la gari linavyofanya kazi.
 
Planners kuna mambo wanayaoverlook ila yanakera sana. Taifa letu linaamini sana katika Uhuru wa Kuabudu na wakati huo tunaamini katika Uhuru wa Kuishi na Utu. Uhuru wa Kuabudu unatumiwa vibaya kiasi kwamba imekuwa ni shurutisho la Kuabudu.

Huku mbeleni Planners wafanye mpango wa kuweka Msikiti, Makanisa na Kumbi za Starehe mbali na makazi ya watu.
 
Suala la kuuliza kwa waislam wezangu .Je Mtume wa Mwenyezi Mungu S.A.W..aliwahi kuamsha watu asubuhi kwa maneno kama hayo ?au masahaba zake waliwahi?na kama hajafanya yeye kwa nini tufanye sie ?haya maneno ya naweza kusema kwenye kuwapa mawaidha waislam .sio kufanya kama nguzo ya kuamsha watu kwenda kusali .tumefundishwa adhana na kwa watu wa nyumbani kwako kuwaamsha ikiwa wamo kulala .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nipite kimya kimya maana Duuuuuuh. Kusoma hii thread tu naogopa kwenda kulala.
 
Suala la kuuliza kwa waislam wezangu .Je Mtume wa Mwenyezi Mungu S.A.W..aliwahi kuamsha watu asubuhi kwa maneno kama hayo ?au masahaba zake waliwahi?na kama hajafanya yeye kwa nini tufanye sie ?haya maneno ya naweza kusema kwenye kuwapa mawaidha waislam .sio kufanya kama nguzo ya kuamsha watu kwenda kusali .tumefundishwa adhana na kwa watu wa nyumbani kwako kuwaamsha ikiwa wamo kulala .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la nyongeza limesaidia hasa kwa zama hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Planners kuna mambo wanayaoverlook ila yanakera sana. Taifa letu linaamini sana katika Uhuru wa Kuabudu na wakati huo tunaamini katika Uhuru wa Kuishi na Utu. Uhuru wa Kuabudu unatumiwa vibaya kiasi kwamba imekuwa ni shurutisho la Kuabudu.

Huku mbeleni Planners wafanye mpango wa kuweka Msikiti, Makanisa na Kumbi za Starehe mbali na makazi ya watu.
Plan hiyo utaionea ndotoni...ni nchi gani yenye plan hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kaka tunavumiliana sana kwenye haya mambo... Ila kwa wale yanayowahusu hawanaoni tatizo sio wote ila wengine hata kama hawaswali wanafikir wakikosoa watakuwa wanapata dhambi, si unajua watu tunavyoogopa vitisho vya kiimani.
Swala ni bora kuliko usingizi... Alafu sasa mara nyingi wanaosema hivyo saa hizo ni mababu, tayar walishauchapa usingizi ujanani sasa wamekuwa wazee usingizi ni wa manati, wanawaambia wengine usingizi si muhimu kuliko sala, aliyesema hivyo ni nani???
Hivi anajua kama usingizi ni afya kwa ubongo???

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna aliyekufosi kuishi karibu na msikiti?kijana fanya uhame tu...hizi kelele unazopiga hazitakuwa solution kwa hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakubaliana kabisa na uhuru wa kuabudu... ila kupigiana kelele sio sawa kabisa.
Sikubaliani na kelele za bar, misikiti, makanisa n.k. hii haiko sawa kabisa.. mimi nipo takaribani mita 700 na msikiti lakini wakati mwengine huwa nasikia. Sasa wale waliopo mita 10 inakuwaje.
Kuna adhana ya kwanza saa kumi... sasa huyu wa huku kila baada ya dk 15 anatoa update. Hivi sasa ni saa 10.15... swalaaaaa swalaaa swalaaa, hivi sasa ni saa 10.30 swalaaa swalaaa swalaaaa waislamu swalaaaa.... yaani ndio hivyo mpka 5.30 hadi 6.05.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha choko zako Wewwee..hizi update umezitunga mwenyewe....adhana ni mbili na maneno hayo yanasemwa kila baada ya adhana...nyinyi mmejenga chuki juu ya uislamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah hii thread bana,haitawaacha watu salama

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Mimi nakubaliana kabisa na uhuru wa kuabudu... ila kupigiana kelele sio sawa kabisa.
Sikubaliani na kelele za bar, misikiti, makanisa n.k. hii haiko sawa kabisa.. mimi nipo takaribani mita 700 na msikiti lakini wakati mwengine huwa nasikia. Sasa wale waliopo mita 10 inakuwaje.
Kuna adhana ya kwanza saa kumi... sasa huyu wa huku kila baada ya dk 15 anatoa update. Hivi sasa ni saa 10.15... swalaaaaa swalaaa swalaaa, hivi sasa ni saa 10.30 swalaaa swalaaa swalaaaa waislamu swalaaaa.... yaani ndio hivyo mpka 5.30 hadi 6.05.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jumuikeni wote pamoja na huyo mleta mada mkashitaki....pwagu na pwaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha hahaha mkuu pole halafu spika zimegeuzia kwko lazima usikie tu....
 
Back
Top Bottom