Hiki kipindi ni kigumu kukopesha ila kwa huu ugonjwa kuna biashara zinaathirika na kuna zinazo fanya vizuri,isipokuwa hofu ndio tatizo,maana huu ugonjwa bwana!usipo ufuata basi utaletewa haswa kwa watoa hudumasijui kama bado wanakopesha, na Corona hii.. ukifa kesho je....nakutania bwa sheee...nenda kakopee ujenge heshima mjini
Mimi sio mtumishi ni mfanyabiashara tuWewe ni mtumishi au mfanya biashara
Emaphakadeni