Msaada: Nataka kukopa CRDB

Msaada: Nataka kukopa CRDB

sijui kama bado wanakopesha, na Corona hii.. ukifa kesho je....nakutania bwa sheee...nenda kakopee ujenge heshima mjini
 
sijui kama bado wanakopesha, na Corona hii.. ukifa kesho je....nakutania bwa sheee...nenda kakopee ujenge heshima mjini
Hiki kipindi ni kigumu kukopesha ila kwa huu ugonjwa kuna biashara zinaathirika na kuna zinazo fanya vizuri,isipokuwa hofu ndio tatizo,maana huu ugonjwa bwana!usipo ufuata basi utaletewa haswa kwa watoa huduma


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom