Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Ha ha ha haaaaBoloyang analishika na kuliegesha mlangoni, halafu anaanza kujitaii.. mzuka ukimzidi ndo anatoa ile amri za Mwanri, SUKUMA NDANI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha haaaaBoloyang analishika na kuliegesha mlangoni, halafu anaanza kujitaii.. mzuka ukimzidi ndo anatoa ile amri za Mwanri, SUKUMA NDANI.
Watoto mkalale kesho shuleAmbae ameelewa atoe ushaurii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanakodolea macho mambo ya wakubwa mwishowe wakawasumbue maticha wao wa kikeWatoto mkalale kesho shule
Hataki hata kupimwa oilKwahio mtoto anajivuta strings mwenyewe hapo kanda ya kati?
Sawa,zungumza nae.Kwa vile siyo mara ndo naanza kutalii naye hiyo ya kutompa raha inapa asilimia ndogo ila nakazia hapo kwenye mazoea au uraibu wa kujipa raha mwenyewe
Ni sahihiJamani sio lazima kila siku mizani ibalance, kuna siku unafanya kwa ajili yake na kuna siku anatakiwa kufanya kwa ajili yako, na siku zingine mnaenda sambamba.
Sisi hupanga kabisa, kwamba bwana ee mimi leo nakutumia na hakuna kitu utafanya!!!
Maisha hayahitaji ubinafsi.
Mwaga mautundu mwenzie afurahie maisha piaUwe unamtia vidole
Mwenyewe nina shida zangu mkuu 🤦Mwaga mautundu mwenzie afurahie maisha pia
Huenda! Kwa kuzingatia hilo imebedi niombe ma legends mnisaidie niweze kumrekebisha haya mazoea bila kumuumiza kihisiaPole broo!huyo mwenza amesoma boarding isije kua kashawahi kusagana hvyooo!!!ndo maana anainjoi kujipiga finga mwenyewe
Mwaga tu vitu maana shida zipo tu na zitaendelea kuwapo. Shida haikosekani hata kama ni siku ya harusiMwenyewe nina shida zangu mkuu 🤦
Tatizo mijitu inataka eti kila siku wote mridhike hiyo haipogo hiyo, kuna siku kadhaa mmoja atadanganya karidhik kumbe hollaa.Jamani sio lazima kila siku mizani ibalance, kuna siku unafanya kwa ajili yake na kuna siku anatakiwa kufanya kwa ajili yako, na siku zingine mnaenda sambamba.
Sisi hupanga kabisa, kwamba bwana ee mimi leo nakutumia na hakuna kitu utafanya!!!
Maisha hayahitaji ubinafsi.
watu wanakula tunda kimasiharaAmbae ameelewa atoe ushaurii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utalii wa ndani muhimu sana, mpitishe maeneo adhimu ambayo ni kivutio kwako na yeye atakuelewa, mwambie aache paparaMa legends,
Nimepata changamoto ya kusafiri na huyu wife material!
Changamoto ninayopitia ni kuwa kila tukianza safari ya utalii wa ndani, huwa tunaanza kwa pamoja, kanda ya kaskazini. Tunapotoka kanda ya kaskazini mimi huwa niweke pozi kanda ya ziwa. Hapo nitakaa muda kadhaa nikirukaruka kwenye yale mamiamba.
Sasa wakati naendelea kubarizi hapo kanda ya ziwa, mwenzangu hukimbia harakaharaka kwenda kanda ya kati. Nikitaka kumfuata huko, hunisisitiza niendelee kubaki hapo hapo kanda ya ziwa lakini yeye anakuwa bize huko kanda ya kati. Nimejaribu kutumia mbinu za kuzunguka nyanda za juu kusini ili niungane naye kanda ya kati lakini huwa naambulia kurudishwa kanda ya ziwa.
Akikaribia mwisho wa safari anakuita harakaharaka uungane naye kanda ya kati. Kwa hiyo natoka mbio ili nimuwahi hapo kanda ya kati. Sasa hii ratiba inaninyima uhuru wa mimi kuamua nimpitishe wapi ili afurahii utalii wa ndani. Kwa hiyo ma legends, naomba mbinu za nimbadilishia hiyo ratiba yake ya safari.
Captain... This is bravo... Reporting... One man down...... Over
Ambae ameelewa atoe ushaurii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]