Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

Msaada: Nataka kumpeleka mgonjwa wangu India

Mkuu pole sana, pia tunashukuru kwa thread yako hii imetufungua macho sababu ni wengi tu tuna mattizo ya kiafya pia niwashukuru wale wote waliotoa ushauri kwa namna yeyote tunawaombea muendelee na moyo huo, mwenyezi muungu awaape mibaraka.....
 
Nashukuru sana kwa maelezo yako ya kina. Katika moja ya tovuti za Apollo, wameonyesha kuwa pia wanatoa e-consultations kwa wagonjwa walioko mbali, nadhani hii itakuwa mwanzo mzuri katika maandalizi ya awali kabla ya safari ili mgonjwa atakapofika, hatasumbuliwa tena on background info.

Unakumbuka position ya Rokesh iliitwaje? Najaribu kutafuta kwenye tovuti ya Apollo Health City mtu anayehusika na international patients na ninampata senior general manager tu. Hii ya Hyderabad wana helpline kwa ajili ya international patients so nitawapigia niwaulize kuhusu gharama zao, average duration ya matibabu na post treatment therapy.

Again, asante sana kwa ushauri.

Rokesh ni assistant manager- international division.. Nina e mail yake nita kupm maana nimewasiliana nae sana last years wakati tunataka twende appollo

Manager wa international division anaitwa Radhey ila huyu yupo busy sana na ana roho mbaya na dharau sana kwa wa africa,,, ndo maana kazi zake nyingi za patient from africa zinafanywa na rokesh
 
Nakupa ushauri wa bure! Mimi nilikuwa na vidonda vya tumbo kupita maelezo! Kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20! Amini usiamini ilifika wakati niliamini vitaniua! Madaktari nyumbani tanzania walishindwa kunisaidia labda kupata nafuu isiodumu na tatizo linajirudia! Nilikuja Japan kimasomo mpaka sasa bado nipo hapa, baridi la hapa Japan ndio na vidonda vya tumbo inakuwa balaa, nikapelekwa hospital na kukutana na doctor wa matumbo gastroenterologist nikafanyiwa colonoscopy test ambayo doctor anakuingiza flexible tube yenye camera kwa njia ya haja kubwa na kuangalia mfumo wako wote wa mpana! Baada ya kipimo hicho doctor akasema hakuna tatizo! Inabidi afanye test nyingine kuingiza mpira mwembamba wenye camera kupitia mdomoni upper endoscopy hii test ni kasheshe hapa japan tofauti na America! Hapa Japan wanakufanyia ukiona live! Kwa macho yako, America wanakufanyia baada ya kukupiga sindano na kulala! Anyway baada ya kumaliza hii test majibu ya karudi hamna kitu! Sikukata tamaa nikapelekwa Tokyo university hospital kwa gastroenterologist mwingine! Akasema anataka kurudia kipimo cha upper endoscopy!! Nilikataa katakata nikasema itakuwa ni upuuzi kurudia kipimo Mara 2! Lakini Yule doctor aliniambia Ana uhakika doctor wa mwanzo ha kunicheki vizuri!! Kwa tabu na mateos niliyokuwa nayapata nikakubali tena!! Wakati ananifanyia hicho kabla hata hajamaliza akaanza kutabasamu elewa kuwa wakati akifanya hivyo mpira huo mrefu bado ulikuwa bado tumboni mwangu! Nikawa najiuuliza huyu doctor ----- au mwendawazimu! Kitu gani kinamfurahisha? Akaniambia nasumbuliwa na aina Fulani ya bacteria wanaaitwa helicobacter pylori! 20 ----en years!! Akasema watafanya stomach biopsy kupata uhakika zaidi baada ya kufanya culture! Majibu ya karudi positive helicobacter pylori, kinachotokea unapokuwa na hawa bugs kwenye tumbo lako ni kwamba wanashambulia stomach mucus, kazi ya stomach mucus ni kukinga kuta za tumbo! Unapokuwa na hawa bacteria wanasababisha stomach mucus kukosekana matokeo yake ni stomach acid inashambulia kuta moja kwa moja ndio unapata vidonda vya tumbo! Na pengine ukapata cancer! Kwani kuta za tumbo zinakosa kinga! Matibabu yake ni antibiotic kwa siku 7/10 pamoja na acid blockers kwa ajili ya kuweza kupunguza acid tumboni Ili antibiotic ziweze kuwaua hawa bacteria! Kwani ni bacteria wagumu sana kufa! Kutuma antibiotic pekee yake bila acid blocker ni kazi bure kwani antibiotic hazitokuwa na nguvu ya kutosha nguvu ya dawa it apunguziwe kwa kiasi kikubwa na stomach acid! Sina vidonda vya tumbo ndugu yangu! Sina uhakika Kama unaweza kupata doctor mzuri hapo nyumbani! Inawezekana nduguyo akawa na tatizo Hilo ukawa umeokoa gharama za kumpeleka India! N:B please share this information with ulcers sufferer ! Helicobacter pylori infection is more prevalent in developing countries due to the poor sanitation! Kama una ulcers haziponi jaribu kucheki hawa bacteria!! Unaweza wasiliana nami +8180 4444 1220 Moses.
 
Rokesh ni assistant manager- international division.. Nina e mail yake nita kupm maana nimewasiliana nae sana last years wakati tunataka twende appollo

Manager wa international division anaitwa Radhey ila huyu yupo busy sana na ana roho mbaya na dharau sana kwa wa africa,,, ndo maana kazi zake nyingi za patient from africa zinafanywa na rokesh

Nitashukuru sana. Nilitingwa na kazi jana nikashindwa kabisa kuwapigia hawa Apollo Hyderabad, nimedhmiria kufanya hivyo leo.
 
Nakupa ushauri wa bure! Mimi nilikuwa na vidonda vya tumbo kupita maelezo! Kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20! Amini usiamini ilifika wakati niliamini vitaniua! Madaktari nyumbani tanzania walishindwa kunisaidia labda kupata nafuu isiodumu na tatizo linajirudia! Nilikuja Japan kimasomo mpaka sasa bado nipo hapa, baridi la hapa Japan ndio na vidonda vya tumbo inakuwa balaa, nikapelekwa hospital na kukutana na doctor wa matumbo gastroenterologist nikafanyiwa colonoscopy test ambayo doctor anakuingiza flexible tube yenye camera kwa njia ya haja kubwa na kuangalia mfumo wako wote wa mpana! Baada ya kipimo hicho doctor akasema hakuna tatizo! Inabidi afanye test nyingine kuingiza mpira mwembamba wenye camera kupitia mdomoni upper endoscopy hii test ni kasheshe hapa japan tofauti na America! Hapa Japan wanakufanyia ukiona live! Kwa macho yako, America wanakufanyia baada ya kukupiga sindano na kulala! Anyway baada ya kumaliza hii test majibu ya karudi hamna kitu! Sikukata tamaa nikapelekwa Tokyo university hospital kwa gastroenterologist mwingine! Akasema anataka kurudia kipimo cha upper endoscopy!! Nilikataa katakata nikasema itakuwa ni upuuzi kurudia kipimo Mara 2! Lakini Yule doctor aliniambia Ana uhakika doctor wa mwanzo ha kunicheki vizuri!! Kwa tabu na mateos niliyokuwa nayapata nikakubali tena!! Wakati ananifanyia hicho kabla hata hajamaliza akaanza kutabasamu elewa kuwa wakati akifanya hivyo mpira huo mrefu bado ulikuwa bado tumboni mwangu! Nikawa najiuuliza huyu doctor ----- au mwendawazimu! Kitu gani kinamfurahisha? Akaniambia nasumbuliwa na aina Fulani ya bacteria wanaaitwa helicobacter pylori! 20 ----en years!! Akasema watafanya stomach biopsy kupata uhakika zaidi baada ya kufanya culture! Majibu ya karudi positive helicobacter pylori, kinachotokea unapokuwa na hawa bugs kwenye tumbo lako ni kwamba wanashambulia stomach mucus, kazi ya stomach mucus ni kukinga kuta za tumbo! Unapokuwa na hawa bacteria wanasababisha stomach mucus kukosekana matokeo yake ni stomach acid inashambulia kuta moja kwa moja ndio unapata vidonda vya tumbo! Na pengine ukapata cancer! Kwani kuta za tumbo zinakosa kinga! Matibabu yake ni antibiotic kwa siku 7/10 pamoja na acid blockers kwa ajili ya kuweza kupunguza acid tumboni Ili antibiotic ziweze kuwaua hawa bacteria! Kwani ni bacteria wagumu sana kufa! Kutuma antibiotic pekee yake bila acid blocker ni kazi bure kwani antibiotic hazitokuwa na nguvu ya kutosha nguvu ya dawa it apunguziwe kwa kiasi kikubwa na stomach acid! Sina vidonda vya tumbo ndugu yangu! Sina uhakika Kama unaweza kupata doctor mzuri hapo nyumbani! Inawezekana nduguyo akawa na tatizo Hilo ukawa umeokoa gharama za kumpeleka India! N:B please share this information with ulcers sufferer ! Helicobacter pylori infection is more prevalent in developing countries due to the poor sanitation! Kama una ulcers haziponi jaribu kucheki hawa bacteria!! Unaweza wasiliana nami +8180 4444 1220 Moses.

Asante sana kwa maelezo. Sidhani kama aliwahi kuchekiwa for bacterial infection (which now that you have mentioned, seems like a no brainer). Ngoja nimuulize daktari wake kuhusu hili halafu nitakutafuta.
 
Mkuu pole sana, pia tunashukuru kwa thread yako hii imetufungua macho sababu ni wengi tu tuna mattizo ya kiafya pia niwashukuru wale wote waliotoa ushauri kwa namna yeyote tunawaombea muendelee na moyo huo, mwenyezi muungu awaape mibaraka.....

Asante sana.
 
Hii ndo e mail ya manager wa international division appollo head quarter huko hyderabad india

Radheymohan_p@apollohospitals.com

Huyu atakuunganisha na Rokesh akijua unatoka Africa and then utaunganishwa na specialist and consultant ili wafanye review ya mgonjwa online na kukupa ushauri nini cha kufanya
 
Inawezekana nduguyo akawa na tatizo Hilo ukawa umeokoa gharama za kumpeleka India! N:B please share this information with ulcers sufferer ! Helicobacter pylori infection is more prevalent in developing countries due to the poor sanitation! Kama una ulcers haziponi jaribu kucheki hawa bacteria!!

Nimeongea na mgonjwa na ameniambia kuwa amekuwa tested for h-pylori on three different occasions and each time given a heligo kit. Nimemwambia itabidi tuanze kufuatilia zaidi kujua kama tatizo alilonalo sasa hivi ni recurrence ya h-pylori na ataongea na daktari wake kujua zaidi. In the mean time, I'll try give you a call later today (early tomorrow kwako) unisaidie kuhusu procedures ulizozifuata.
Asante sana.
 
Quick update: Kwa sasa mgonjwa anaendelea vizuri na hasikii maumivu yoyote. Yuko kwenye dozi ya vidonge vitakavyomsaidia kurudisha damu mwilini ili hata ikibidi kufanyiwa surgery wakati wowote, awe eligible.
Nitawasiliana na sokwe kupata maelezo zaidi na pia naendelea kuwasiliana na watu wa Apollo ili niweze kusecure, at the very least an e-consultation kabla ya kuendelea zaidi. Asanteni sana kwa msaada wenu.

ps. This definitely starts to feel like caringbridge though I won't lie, it's mildly therapeutic to hear from others who have gone through what I am going through right now.
 
mpaka sasa sijajua kwanini unaenda india maana kweli Tanzania umeshndwa kupata matibabu. Na vp daktari wako kakwambia unaenda kufanya nini India. Fahamu haya yafuatatayo.
1. Wasiliana na daktari wako wa Tz akwambie kwanini uende india na kwa tatizo gani
2. Je unaenda kwa matibabu gani specifically. Upasuaji... Au nini.
3. Wasil4ana na dr atakayefanya ili vpimo vngne akuruhusu ufanyie huku make ukienda huko bila vpmo hela itakua zaidi ya 20thousand dolarz
4. Je umeona gastroenterologist wa bongo
ni pm nkupe namba tuongee. Mi dr
 
Nakupa ushauri wa bure! Mimi nilikuwa na vidonda vya tumbo kupita maelezo! Kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20! Amini usiamini ilifika wakati niliamini vitaniua! Madaktari nyumbani tanzania walishindwa kunisaidia labda kupata nafuu isiodumu na tatizo linajirudia! Nilikuja Japan kimasomo mpaka sasa bado nipo hapa, baridi la hapa Japan ndio na vidonda vya tumbo inakuwa balaa, nikapelekwa hospital na kukutana na doctor wa matumbo gastroenterologist nikafanyiwa colonoscopy test ambayo doctor anakuingiza flexible tube yenye camera kwa njia ya haja kubwa na kuangalia mfumo wako wote wa mpana! Baada ya kipimo hicho doctor akasema hakuna tatizo! Inabidi afanye test nyingine kuingiza mpira mwembamba wenye camera kupitia mdomoni upper endoscopy hii test ni kasheshe hapa japan tofauti na America! Hapa Japan wanakufanyia ukiona live! Kwa macho yako, America wanakufanyia baada ya kukupiga sindano na kulala! Anyway baada ya kumaliza hii test majibu ya karudi hamna kitu! Sikukata tamaa nikapelekwa Tokyo university hospital kwa gastroenterologist mwingine! Akasema anataka kurudia kipimo cha upper endoscopy!! Nilikataa katakata nikasema itakuwa ni upuuzi kurudia kipimo Mara 2! Lakini Yule doctor aliniambia Ana uhakika doctor wa mwanzo ha kunicheki vizuri!! Kwa tabu na mateos niliyokuwa nayapata nikakubali tena!! Wakati ananifanyia hicho kabla hata hajamaliza akaanza kutabasamu elewa kuwa wakati akifanya hivyo mpira huo mrefu bado ulikuwa bado tumboni mwangu! Nikawa najiuuliza huyu doctor ----- au mwendawazimu! Kitu gani kinamfurahisha? Akaniambia nasumbuliwa na aina Fulani ya bacteria wanaaitwa helicobacter pylori! 20 ----en years!! Akasema watafanya stomach biopsy kupata uhakika zaidi baada ya kufanya culture! Majibu ya karudi positive helicobacter pylori, kinachotokea unapokuwa na hawa bugs kwenye tumbo lako ni kwamba wanashambulia stomach mucus, kazi ya stomach mucus ni kukinga kuta za tumbo! Unapokuwa na hawa bacteria wanasababisha stomach mucus kukosekana matokeo yake ni stomach acid inashambulia kuta moja kwa moja ndio unapata vidonda vya tumbo! Na pengine ukapata cancer! Kwani kuta za tumbo zinakosa kinga! Matibabu yake ni antibiotic kwa siku 7/10 pamoja na acid blockers kwa ajili ya kuweza kupunguza acid tumboni Ili antibiotic ziweze kuwaua hawa bacteria! Kwani ni bacteria wagumu sana kufa! Kutuma antibiotic pekee yake bila acid blocker ni kazi bure kwani antibiotic hazitokuwa na nguvu ya kutosha nguvu ya dawa it apunguziwe kwa kiasi kikubwa na stomach acid! Sina vidonda vya tumbo ndugu yangu! Sina uhakika Kama unaweza kupata doctor mzuri hapo nyumbani! Inawezekana nduguyo akawa na tatizo Hilo ukawa umeokoa gharama za kumpeleka India! N:B please share this information with ulcers sufferer ! Helicobacter pylori infection is more prevalent in developing countries due to the poor sanitation! Kama una ulcers haziponi jaribu kucheki hawa bacteria!! Unaweza wasiliana nami +8180 4444 1220 Moses.

mkuu pole sana na asante kwa ushauri. Hivyo vipimo vyote yaani colo na endoscop nimefanya lakini havikuonysha tatizo ispokuwa endoscopy ilionyesha gas, nikatumia heligo kit kwa ajili ya hao bakteia ulowataja lakini mkuu sokwe hadi leo sijapona. Katika kupita nimepima mara kadhaa naambiwa amoeba mara ingine minyoo. Je wewe hujawahi kuambiwa una hili tatizo? Je Acid blockers ambazo ni effective unashauri zipi? Na antibiotic ambazo effective unashauri zipi? Nina tatizo la mda mrefu sana la gesi yaani siwezi hata kukuelezea nilikopita na a to z.
 
mpaka sasa sijajua kwanini unaenda india maana kweli Tanzania umeshndwa kupata matibabu. Na vp daktari wako kakwambia unaenda kufanya nini India. Fahamu haya yafuatatayo.
1. Wasiliana na daktari wako wa Tz akwambie kwanini uende india na kwa tatizo gani
2. Je unaenda kwa matibabu gani specifically. Upasuaji... Au nini.
3. Wasil4ana na dr atakayefanya ili vpimo vngne akuruhusu ufanyie huku make ukienda huko bila vpmo hela itakua zaidi ya 20thousand dolarz
4. Je umeona gastroenterologist wa bongo
ni pm nkupe namba tuongee. Mi dr

Uamuzi wa kwenda India umekuja baada ya mgonjwa kuhangaika kutoka hospitali moja hadi nyingine bila mafanikio. Pia ''specialists'' ambao amekuwa referred kwao mpaka sasa hawajatoa concrete diagnosis ya tatizo jambo ambalo linatia wasiwasi to say the least.

Kuhusu vipimo, ni kama nilivyoelezea hapo awali ila kama unadhani kuna tulichosahau ningependa unijulishe.

ps. Wewe uko kitengo gani?
 
Pole sana munyanga! Nakuonea huruma sana kwa tatizo lako! Samahani kwa kuchelewa kukujibu nimekuwa sipo hapa jf Mara kwa Mara kutokana na Kwenda mbio na maisha, anyway kwani wewe na suki ni ndugu? Kwani nimempatia maelezo ya kutosha, Kama I nasumbuliwa na kiungulia ni kwasababu hao bacteria wana produce ammonia gas! Au mtu mwingine Anakuwa na fishy smell! Nilipogunduliwa kuwa na hao bacteria sikumbuki doctor wangu alitumia antibiotics zipi na hizo proton inhibitors Lakini Sio kitu nitajaribu kumuuliza Ili anifahaamishe ila kumbuka hawa bacteria wako very resistant na dawa! Kuna options 3 za kuwatibu hawa bacteria na zote kwa hiyo unaweza kuona kuna combination za antibiotics nyingi! Ikishindikana kuwatibu kwa option ya 1 na 2 huwa wanatumia triple therapy ambayo ni stage ya mwisho! Sina uhakika Kama una daktari mzuri mwenye kupeleka jinsi ya kutibu Ili tatizo! Nitajaribu kuuliza Kama inawezekana wa kununua hizo dawa hapa Japan elewa nchi hizi za dunia ya 1 Sio rahisi kununua dawa without prescription form kutoka kwa daktari! Sasa sina uhakika Kama wana taratibu za kukubali prescription form kutoka nje ya Japan! Hata hivyo kuna online pharmacy kule marekani, uingereza na Canada ambao wao Kama una prescription form kutoka kwa daktari wako wanakuuzia dawa bila tatizo! Tafadhali Kama unataka kuwasiliana na Mimi ukatumia private message kuliko ku post hapa kwenye hii thread Sio kwasababu mbaya isipokuwa wakati ninapokuwa na soma thread mbali mbali huwa siipati hii thread kutokana na thread kuwa nyingi hapa jf, ninafikiri utakuwa na hao bacteria wanakusumbua pia unaweza kunitumia SMS kwenye simu yangu au barua pepe mgnjmoses@live.co.uk, pole sana utapona ila fanya jitihada, stay blessed.
 
Pole sana munyanga! Nakuonea huruma sana kwa tatizo lako! Samahani kwa kuchelewa kukujibu nimekuwa sipo hapa jf Mara kwa Mara kutokana na Kwenda mbio na maisha, anyway kwani wewe na suki ni ndugu? Kwani nimempatia maelezo ya kutosha, Kama I nasumbuliwa na kiungulia ni kwasababu hao bacteria wana produce ammonia gas! Au mtu mwingine Anakuwa na fishy smell! Nilipogunduliwa kuwa na hao bacteria sikumbuki doctor wangu alitumia antibiotics zipi na hizo proton inhibitors Lakini Sio kitu nitajaribu kumuuliza Ili anifahaamishe ila kumbuka hawa bacteria wako very resistant na dawa! Kuna options 3 za kuwatibu hawa bacteria na zote kwa hiyo unaweza kuona kuna combination za antibiotics nyingi! Ikishindikana kuwatibu kwa option ya 1 na 2 huwa wanatumia triple therapy ambayo ni stage ya mwisho! Sina uhakika Kama una daktari mzuri mwenye kupeleka jinsi ya kutibu Ili tatizo! Nitajaribu kuuliza Kama inawezekana wa kununua hizo dawa hapa Japan elewa nchi hizi za dunia ya 1 Sio rahisi kununua dawa without prescription form kutoka kwa daktari! Sasa sina uhakika Kama wana taratibu za kukubali prescription form kutoka nje ya Japan! Hata hivyo kuna online pharmacy kule marekani, uingereza na Canada ambao wao Kama una prescription form kutoka kwa daktari wako wanakuuzia dawa bila tatizo! Tafadhali Kama unataka kuwasiliana na Mimi ukatumia private message kuliko ku post hapa kwenye hii thread Sio kwasababu mbaya isipokuwa wakati ninapokuwa na soma thread mbali mbali huwa siipati hii thread kutokana na thread kuwa nyingi hapa jf, ninafikiri utakuwa na hao bacteria wanakusumbua pia unaweza kunitumia SMS kwenye simu yangu au barua pepe mgnjmoses@live.co.uk, pole sana utapona ila fanya jitihada, stay blessed.

asante mkuu nimechukua mail yako ntakutext. Mimi sio ndugu na suki tunakutana tu hapa nadhani matatizo yanafanana.
 
Thanks kwa wote, hakika nimepata elimu kwa kiasi kikubwa binafsi nina peptic ulcers na nimetumia omeplazole kwa sasa nina miezi kama 3 hv sijapata tatizo lolote lakini naendelea kutafuta permanent solution ya tatizo kwani najua litajirudia tu badae nisipofanya jitihada zaidi
 
Back
Top Bottom