Tafadhali kama una uelewa wa
:-
1.,Nini maana ya HISA
2. Zipi ni faida na hasara za kununua HISA?
3. Je, ni Lazima niwe mjuvi wa hesabu ili kuingia ktk ununuaji wa HISA?
4.Je, Soko la HISA la Dar es salaam wana utaratibu wa BIMA kama kuna risks zozote zinazoambatana na ununuzi wa HISA.
5.,Na..,Je, kwanini Makampuni ya Tanzania hayamo ktk masoko mengine ya HISA ya Africa Mashariki?
Nitashukuru ukinipa majibu pia kwa ajili yangu na wanabodi wengine ambao huenda hujiuliza kama mimi.
Na: N'yadikwa 。
Hata kama utapata majibu hisa ni biashara kichaa
Hongera kwa wazo lako zuri...nakushauri ipitie thread za nyuma kuna mtu jukwaa la biashara alitoa somo kuhusu haya mambo!!! Ukizipata utakua umemaliza kila kitu!!
Ila kwa kuanzia google "dse tanzania" then soma humo nadhan utapata kitu pia.
Sio kweli ulichoandika, na usimkatishe mwenzio tamaa. Biashara ya hisa ni nzuri sana kama utakuwa makini kuchagua kampuni inayofanya vizuri. Ukipata kampuni inayofanya vizr hii biashara ya hisa inalipa kuliko hata kufungua duka na kujikalisha hapo kutwa nzima!!Hata kama utapata majibu hisa ni biashara kichaa
Huo ubishi wako ni kwa sababu hujasoma uhasibu. Sikulaumu kwa hilo.Sio kweli ulichoandika, na usimkatishe mwenzio tamaa. Biashara ya hisa ni nzuri sana kama utakuwa makini kuchagua kampuni inayofanya vizuri. Ukipata kampuni inayofanya vizr hii biashara ya hisa inalipa kuliko hata kufungua duka na kujikalisha hapo kutwa nzima!!