N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Tafadhali kama una uelewa wa
:-
1.,Nini maana ya HISA
2. Zipi ni faida na hasara za kununua HISA?
3. Je, ni Lazima niwe mjuvi wa hesabu ili kuingia ktk ununuaji wa HISA?
4.Je, Soko la HISA la Dar es salaam wana utaratibu wa BIMA kama kuna risks zozote zinazoambatana na ununuzi wa HISA.
5.,Na..,Je, kwanini Makampuni ya Tanzania hayamo ktk masoko mengine ya HISA ya Africa Mashariki?
Nitashukuru ukinipa majibu pia kwa ajili yangu na wanabodi wengine ambao huenda hujiuliza kama mimi.
Na: N'yadikwa 。
:-
1.,Nini maana ya HISA
2. Zipi ni faida na hasara za kununua HISA?
3. Je, ni Lazima niwe mjuvi wa hesabu ili kuingia ktk ununuaji wa HISA?
4.Je, Soko la HISA la Dar es salaam wana utaratibu wa BIMA kama kuna risks zozote zinazoambatana na ununuzi wa HISA.
5.,Na..,Je, kwanini Makampuni ya Tanzania hayamo ktk masoko mengine ya HISA ya Africa Mashariki?
Nitashukuru ukinipa majibu pia kwa ajili yangu na wanabodi wengine ambao huenda hujiuliza kama mimi.
Na: N'yadikwa 。