Msaada nataka kununua Suzuki Swift

Msaada nataka kununua Suzuki Swift

Mdanganye mwenzako na Ile lugha ya 'dunia Ni Kijiji Sasa,utaagiza tu spare'.

Wenye Bimmer,Audi,Benz, Jaguar hapa bongo hio kauli inawaliza mpk kamasi kila siku.
Kununua hayo magari uliyoorodhesha wakati bado kichwani una mentality kama zako yatakushinda tu, na wengi walionunua hayo magari ndio wako hivyo na ndio yanayowasumbua. Wachache wanaojitambua mbona wanaishi nayo fresh tu. Ni upumbavu na kutokuwa na akili kuweza kutumia mamilioni kuagiza gari nje ya nchi alafu unaogopa kuagiza spare ya sh laki nne au laki tano sababu unashindwa kupaki gari ndani au garage kusubiria spare ije.
 
Kununua hayo magari uliyoorodhesha wakati bado kichwani una mentality kama zako yatakushinda tu, na wengi walionunua hayo magari ndio wako hivyo na ndio yanayowasumbua. Wachache wanaojitambua mbona wanaishi nayo fresh tu. Ni upumbavu na kutokuwa na akili kuweza kutumia mamilioni kuagiza gari nje ya nchi alafu unaogopa kuagiza spare ya sh laki nne au laki tano sababu unashindwa kupaki gari ndani au garage kusubiria spare ije.
Mimi Ni mmoja Kati ya hao wapumbavu mwenye jaguar 2010 XF R-Sport.

So I walk the talk.
 
Suzuki Swift Moja Ya Gari Ngumu Na Mafuta INATUMIA VIZURI Sana naandika haya nikiwa na uzoefu na Hii Gari Ni Bonge Moja Ya Gari Chini Haigongi bara bara za vumbi unapeta tu

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Nimenunua swift (2003) mwaka wa saba sasa kwa mtu kitu naweza sema ni hivi
Engine ni safi DOHC engine -front wheel drive (hii engine haina shaka sana ukiitunza)
Gear box oil ni Suzuki ATF 3317 OR equivalent kwakweli so far sijaona shida
Mafuta ni kiduchu tu aisee jamii ya passo na ist tu mule mule
Space ndani ni kawaida tu kama ist
Ground clearence ni nzuri sana compared na gari ndogo nyingi sana
Changamoto:
-ni gari ndogo ambayo haina luxury kabisa ndani hivyo kama wewe ni mpenzi wa mziki na mbwembwe nyingi uandae cash ya kui-pimp
-kwakweli miguu yake ya mbele ni tatizo kidogo ikianza kusumbua(but ni kawaida tu kwa matengenezo)
-hii gari imenitesa sana kwenye matengenezo ya vitu vidogo vidogo( mfumo wake wa wiring n old school hivyo maji yakapita kwenye component nying i.e motor ya kupandisha kioo ikaungua,power window circuit ikaungua,taa na baadhi ya nyaya ikaungua etc etc


My take: si mbaya kuwa gari yako ya kwanza,ila ni kheri ukaitafuta ambayo imenyook nyooka isikusumbue sana
Nadhan unaweza pata kwa 6-9m nzr nzr kidogo
 
Wadau habari,manzanita mwenzenu kulingana na haki ya uchumi nataka kununua kagari kanakolingana na hali yangu mm kablwela.

Baada ya uchunguzi wa hapa na pale nikangukia kwenye Suzuki Swift old Model.

Je uimara wake wa Engine,ukaji wake wa mafuta na mengineyo upoje.Je mnanishaurije.

Carina bei hairuhusu,IST bei haishikiki.Vitz sipendi matako yake nyuma.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.
mi ninayo namiliki old model yenye engine ya M13A cc 1300 ni gari moja nzuei sana himilivu ila nilichogundua haina good fuel consuption , engine ndogo ila ulajinwa mafuta ni km ndugu yake toyota cami,na terros kid

changamoto nyingine ni kwenye migii hasa CV JOINT inaua sana , huwez kudumu nazo miez 8

mfumobwake wa umeme umechangamka sana baadhi ya mafundi unawashinda kabisa wanabaki kupomdea tu


ikiwa full loaded ingine inakuwa inalemewa sana hasa kwenye mipando

all in alll hakuna garibisiyokuwa na changamoto ykimiliki fanya service kwa wakati badili spear weka spear sahihi itadumu sana
 
Back
Top Bottom