Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Si huko uliko[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahahaha wewe!
Huko Lumumba ndiyo wapi aisee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si huko uliko[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahahaha wewe!
Huko Lumumba ndiyo wapi aisee?
Tafuta kwanza mpishi
Si huko uliko[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kumbe kaka yangu hata mpishi hakuna!! Unasubiri nn sasa! Au ndio namba zinasomeka!!Mkuu wangu mpishi ni mimi mwenyewe.
Weka maujuzi basi.
Wa asili sijui unaupata wapi huko, ila wa bamia utaupata tu.Hahahahaha!
Wewe mdogo wangu bwana!
Kwa hiyo huku Lumumba ndiyo hakuna Mlenda?
Chukua majani ya mlenda,bamia na karanga zilizopondwapondwa (laini/groundnut paste). Pika kwa pamoja huo mchanganyiko,tonge likikwama njoo univunje shigo.Wasalaam ndugu zangu,
Kuna mboga fulani inaitwa mlenda niliwahi kula zamani kidogo,
inakuwa imelojeka sana. Sasa kutokana na kuisoma namba nataka nijifunze kupika hii kitu ili kubana matumizi. Naomba msaada wa viungo vyake.
Natanguliza Shukrani.
Kumbe kaka yangu hata mpishi hakuna!! Unasubiri nn sasa! Au ndio namba zinasomeka!!
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Wa asili sijui unaupata wapi huko, ila wa bamia utaupata tu.
Chukua majani ya mlenda,bamia na karanga zilizopondwapondwa (laini/groundnut paste). Pika kwa pamoja huo mchanganyiko,tonge likikwama njoo univunje shigo.
Majani ya mlendaMkuu shukrani,
Lakini ni majani ya Maboga au Mlenda?
Majani ya mlenda
Tafuta demu mwenyeji wa Tabora ama kanda ya ziwa atakuonyeshaNdiyo yapi hayo?
.....hahahahaha...unaniangusha mkuda
...opoa goma la kigogo litakufundisha praktikale;
..mi ntakuja na dagaa mchele tutoe kitu cha nguna!
Nitumie nauli nije nikupikie kwako
Mie huyu huyu.Hata siutesi moyo wakoHoney Faith wewe jamani,
Mbona unautesa sana moyo wangu???
Unanikimbia kimbia na ule mpango wetu hujanijibu mpaka leo.
PM umefunga, halafu unataka hela ya nauli tena!
.....hahahahaha..,mi toka mwanzo,na sasa na siku zote milele mi mtu wa nguna,tena la mtama;we mboga 9 najua unatusorora tu!Hahahaha wewe mimi Magoma sitaki naogopa sana ngwengwe!
Halafu wewe tangu lini unakula nguna???
Wewe zako si Burger na Pizza???