Msaada: Nataka kupima/kujua uzito wa nguruwe bila kutumia mizani

Msaada: Nataka kupima/kujua uzito wa nguruwe bila kutumia mizani

Mdumbukize nguruwe kwenye beseni lililo jaa maji. Kusanya yale maji yatakayo mwagika then uyapime kwa lita. Kila lita ni sawa 0.001m3 . Then zidisha lita za maji yaliyomwagika X 0.001. Then zidisha tena kwa 1000. Hapo utakuwa umepata uzito wa nguruwe
Achmedis principle umenikumbsha form one[emoji23]
 

Attachments

Kipimo ni kwa mita kaka sio sentimita . mfano mzingo wa kifua 1.27(M) na urefu 1.02(M).
Uzito = (1.27*1.27)*1.02*69.3 jibu linakuwa ni Kilo 114
Nzuri au uzito=(1.27*1.27)*1.02/400 vipimo ni kwa nchi..!jibu litakuja katika pounds..!then badili pounds(lb)kuwa kg..!1kg=2.202lb
 
Mdumbukize nguruwe kwenye beseni lililo jaa maji. Kusanya yale maji yatakayo mwagika then uyapime kwa lita. Kila lita ni sawa 0.001m3 . Then zidisha lita za maji yaliyomwagika X 0.001. Then zidisha tena kwa 1000. Hapo utakuwa umepata uzito wa nguruwe
Usichanyanye mada mkuu,
Hapo atapata na uzito wa utumbo kichwa na kongoro ambae yeye hahitaji.
 
Back
Top Bottom