Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazma ukisie zaidi ya Mara moja ,mkuunipe ufundi huo mkuu
Achmedis principle umenikumbsha form one[emoji23]Mdumbukize nguruwe kwenye beseni lililo jaa maji. Kusanya yale maji yatakayo mwagika then uyapime kwa lita. Kila lita ni sawa 0.001m3 . Then zidisha lita za maji yaliyomwagika X 0.001. Then zidisha tena kwa 1000. Hapo utakuwa umepata uzito wa nguruwe
Soma HiyoooooEbu mpige picha alafu tuma maana akuna formula ya icho kitu kwasabubu inategemeana na aina ya Nguruwe, malisho, umli na jinsia
Nzuri au uzito=(1.27*1.27)*1.02/400 vipimo ni kwa nchi..!jibu litakuja katika pounds..!then badili pounds(lb)kuwa kg..!1kg=2.202lbKipimo ni kwa mita kaka sio sentimita . mfano mzingo wa kifua 1.27(M) na urefu 1.02(M).
Uzito = (1.27*1.27)*1.02*69.3 jibu linakuwa ni Kilo 114
Haya Ktimsa.Ndio kwa kuwa kipimo ni kwa mita hivyo futi kamba ya kawaida inafaa
Usichanyanye mada mkuu,Mdumbukize nguruwe kwenye beseni lililo jaa maji. Kusanya yale maji yatakayo mwagika then uyapime kwa lita. Kila lita ni sawa 0.001m3 . Then zidisha lita za maji yaliyomwagika X 0.001. Then zidisha tena kwa 1000. Hapo utakuwa umepata uzito wa nguruwe