Msaada nataka kusoma diploma (IT)

Msaada nataka kusoma diploma (IT)

Zuia Sayayi

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
841
Reaction score
134
Jamani naomben msaada sehem ambayo naweza kusoma diploma ktk fani ya IT,
natafuta chuo ambacho kinatoa chakula na marazi na bei iwe ya kawaida
thankx
 
DIT but uwe na C tatu za physics chemistry na math pia nasikia wanaoapply direct entry deadline ishapita
 
mkuu jaribu udom deadline ni 30/8/2013
 
Nenda UCC MLIMANI group nyngne ndo wameanza na wengne ndo kwanz wanaanza pre entry course
 
Back
Top Bottom