Efendi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 314
- 438
Wanajukwaa kama kichwa kinavyojieleza nataka kununua Hisa za Crdb na kuziuza ili nipate faida kidogo kidogo kutokana na kautafiti kangu nilichokafanya kwa mfano juzi niliangalia Hisa moja ilikuwa inauzwa kwa sh 170 lakini leo nimecheki inauzwa sh 200 maanake faida sh 30 kama kwa mtu aliyenunua hisa za sh 10,000,000/ kwa bei ya sh 170 ukaja ukaziuza kwa bei ya sh 200 je huwezi kupata faida? sasa basi naomba wadau wenye uelewa waje wanifafanulie coz nataka kununua Hisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app