iron woman
Senior Member
- Apr 22, 2013
- 147
- 19
Pale mtaa wa msimbaz station ya daladala za kigogona temeke kuna dk wa meno anaitwa akim. Huyu atakusaidia sana anatoa huduma zote hizo
Pale mtaa wa msimbaz station ya daladala za kigogona temeke kuna dk wa meno anaitwa akim. Huyu atakusaidia sana anatoa huduma zote hizo
asante sana ndugu nitajitahidi kufika huko
Dr. Akim amehama pale, kahamia Samora Avenue-NHC House 9th floor Room 918 ( Akim Dental Service )
Asante kwa taarifa ni muda sijaenda Pale wala sijajua kama kahama
asanteni wadau asane MENO Kwa ushauri mzuri mimi nahitaji fixed meno.
hapa nikihesabu meno mazima kabisa ni 14 na kati ya hayo 18 mengine yashatolewa ni mapengo na mengine ndo yameoza hayafai
Asante kwa taarifa ni muda sijaenda Pale wala sijajua kama kahama
Naomba kuuliza, kama mtu hana jino hata moja anaweza kuweka hayo ya kudumu "fixed" kwa wakati mmoja?
Je aina hii ya meno ni imara kiasi kwamba mtu anaweza kutafuna eg nyama ngumu?
mkuu naomba uweke mchanganuo wa hizo bei za menoMkuu @ kiranjamkuu
Naomba nikupe taarfa
Kazi kuu ya meno bandia ni
1. Muonekano (aesthetic or appearance)
2. Kufanya Kazi (function)
Mara nyingi meno ya mbele (canine to canine) yana chukua kazi no 1 na yalio baki yanachukua kazi no 2. Ingawa yote yana kazi zote mbili