Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Mkuu vipi huna lolote na kunisaidiaSubiri waje
Ndio mkuuMkuu vipi huna lolote na kunisaidia
NashukuruKikubwa angalia soko na upatikanaji wa matunda ya kuchuja kiwanda kinatakiwa kuwa kati ya hizo sehemu mbili ila kwa mimi napendelea kiwe sokoni .tafuta
Mashine ya kuoshea
Mashine ya kumenyea
Mashine ya kuchuja/kukamua
Mashine ya kuwekea juice
Ni hayo tuu nazani wengine watachangia vizuri zaidi ya mimi
Ni kweli kabisa mkuuJuice inalipa Kama ukipata sehem yenye mkusanyiko wa watu Kama kariakoo afu upate pia mtu wa kukutengezea bites Kama sambusa,keki,bagia nk.
Kama huna LA kuongea nyamaza huna adabu....ataendaje asipopajua..We anzisha tyuu usitake cha mawazo wala nn!!
Kuna mahali umeona nimeongea!!Kama huna LA kuongea nyamaza huna adabu....ataendaje asipopajua..
invest what you are willing to lose![emoji4][emoji4][emoji4]Juice ni biashaaara yenye ushindani mkubwa sana Kwa Dar
Find something new
Hawa ndo wanafanya jf ionekane chaka la wahuniKama huna LA kuongea nyamaza huna adabu....ataendaje asipopajua..
Ni kweli ushindani upo kwa mtazamo wangu bado hawa winn kushinda costumer woteJuice ni biashaaara yenye ushindani mkubwa sana Kwa Dar
Find something new