Msaada: Nataka kuzalisha juice (Natural juice), naomba mawazo yenu

Jamaa uko vizuri kwenye kuchanganua wazo.
 
Natural juice au Fresh juice..
Hawa ni miongoni mwa watu sasa wanataka kufanya kuikina JF.
Wakuu watakuja tena NAOMBA USHAURI WA KUPIKA KISAMVU..
Watakuja tena WAZAZI WENZANGU NAOMBA USHAURI JINSI YA KUFUNGA NEPI MTOTO..
HIVI MA GREAT THINKERS MPO WAPI??
KAENI MJARIBU KUCHAMBUA MCHELE,CHENGA NA PUMBA
 
Free money broh uliongea kweli
Juice inalipa Kama ukipata sehem yenye mkusanyiko wa watu Kama kariakoo afu upate pia mtu wa kukutengezea bites Kama sambusa,keki,bagia nk.
[/QUOTE/ uliongea kuhusu pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…