Funguka una professional yoyote au umemaliza shule mpaka level gani, nikupa ushauri mzuri mdogo wangu.Habari za hapa wana jamii mimi ni mtanzania ila kwa sasa niko [emoji1139] kenya ila mmmh life ya kenya kiukweli ni ngumu mnoo sasa nilikuwa naomba wazoefu wa haka kanchi kanaitwa Botswana [emoji1052] nataka nikajaribu na hukoo anaejua hii nchi vizuri natakaiwa niandae nini na nn ili niishi vizuri hapo bostwana na utaratibu upoje kwa mtanzania kuishi hapo asanteni sana
Rudi bongoHabari za hapa wana jamii mimi ni mtanzania ila kwa sasa niko π°πͺ kenya ila mmmh life ya kenya kiukweli ni ngumu mnoo sasa nilikuwa naomba wazoefu wa haka kanchi kanaitwa Botswana π§πΌ nataka nikajaribu na hukoo anaejua hii nchi vizuri natakaiwa niandae nini na nn ili niishi vizuri hapo bostwana na utaratibu upoje kwa mtanzania kuishi hapo asanteni sana
Dereva sawa wa gari ndogo au ma lori elezea mkuu tukupe mbinu sie wastaafu wa kuzamiaMm ni dereva na umri wangu ni miaka 30
Huu uzi ntaukujia, Pia nataka kurelocate someday! Specifically Namibia, Sychelles, Mauritius, Cape verde, lesotho, Botswana na Equatorial GuineaHabari za hapa wana jamii mimi ni mtanzania ila kwa sasa niko π°πͺ kenya ila mmmh life ya kenya kiukweli ni ngumu mnoo sasa nilikuwa naomba wazoefu wa haka kanchi kanaitwa Botswana π§πΌ nataka nikajaribu na hukoo anaejua hii nchi vizuri natakaiwa niandae nini na nn ili niishi vizuri hapo bostwana na utaratibu upoje kwa mtanzania kuishi hapo asanteni sana
Leseni ya driving inasoma gari gani? Uzoefu pia ni muhimu ni miaka mingapi?Naweza kuwndesha gari zote maan nimejifunza kwenye Lori
Nimesikia hivo pia mkuu,, ila natamani kusikia namna ya kuzamia huko,, nisije kwenda nikakuta vitu ni tofauti, Japo mwanaume ni kupambana.Mkuu hiyoo nchi mm nasikia iko vizuri
CCM utawajua tuu. Unataka akawe chawa kama Lucas Mwashambwa ? Mwache kijana akambane mbele.Rudi bongo
Botswana wanaruhusu π jaribu bahati yakoHabari za hapa wana jamii mimi ni mtanzania ila kwa sasa niko π°πͺ kenya ila mmmh life ya kenya kiukweli ni ngumu mnoo sasa nilikuwa naomba wazoefu wa haka kanchi kanaitwa Botswana π§πΌ nataka nikajaribu na hukoo anaejua hii nchi vizuri natakaiwa niandae nini na nn ili niishi vizuri hapo bostwana na utaratibu upoje kwa mtanzania kuishi hapo asanteni sana