Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Eeeh.!! Hata passport huna? πππDah ngoja nmchek shangazi anitafutie passport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh.!! Hata passport huna? πππDah ngoja nmchek shangazi anitafutie passport
Nna kitambulisho cha kupiga kura tuu πEeeh.!! Hata passport huna? πππ
Sasa unampigia nani kura?? πππNna kitambulisho cha kupiga kura tuu π
Ntakupgia ww uwe rais wa moyo wangu ππSasa unampigia nani kura?? πππ
ππππ mfyuuuNtakupgia ww uwe rais wa moyo wangu ππ
What a move ! π π π ππNtakupgia ww uwe rais wa moyo wangu ππ
Kila la kheri ndugu,ila afya ni muhimu, Botswana inashika nafasi ya 3 duniani kwa UKIMWI....Habari za hapa wana jamii,
Mimi ni Mtanzania ila kwa sasa niko π°πͺ Kenya ila mmmh life ya Kenya kiukweli ni ngumu mno. Sasa nilikuwa naomba wazoefu wa haka kanchi kanaitwa Botswana π§πΌ
Nataka nikajaribu na hukoo anaejua hii nchi vizuri natakaiwa niandae nini na nn ili niishi vizuri hapo Bostwana na utaratibu upoje kwa mtanzania kuishi hapo.
Asanteni sana
mimi nimebobea katika diamond drilling upande wa exprolation huko vp migodi ipo mikubwaDereva sawa wa gari ndogo au ma lori elezea mkuu tukupe mbinu sie wastaafu wa kuzamia