Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

Msaada: Nataka nimtoe Mpenzi wangu

Liberal1453

Member
Joined
Oct 26, 2020
Posts
14
Reaction score
3
Habari za wakati huu wajuvi wa mambo, ndugu yenu nimekuja hapa kuomba Msaada wenu.

Ninaishi Dar es salaam, Niko na Mpenzi wangu ambae tuko mwanzoni kabisa mwa mahusiano, Si mtu wa uchumi wa chini na si wa juu sana naweza sema ni mtu wa Uchumi wa kati Juu (mazingira aliyokulia)...

Nimekuwa nikifikiria kumtoa out usiku mmoja ila kila ninachofikiria naona nakosea, nawaza kumpeleka sehemu fulani nzuri patulivu pa kupata chakula kizuri...

Naomba Mawazo yenu katika KuPlan huu mtoko, Kuanzia mapendekezo ya sehemu ya kwenda na gharama zake kama itawezekana.....
Nitashukuru kwa kila mawazo yenu.


*Hanywi Pombe.

*Anapenda Muziki ila hawezi cheza kwenye umma wa watu.
images%20(6).jpg
 
Babuuu unachokifikiria ndiyo sahihi hichohicho we mpeleke unakoona panafaa kwa upeo wako na jinsi unavyomjua, tutakushauri sehemu gani muende alafu akapachukia na kukuona lofa utakuja kutulaumu hapa. We mpeleke unapopafikiria ndiyo sehemu sahihi.
 
Kama hampendi kurukaruka vijana wa kidimbwi
👇
Best Western coral beach hotel ,gharama zako mkuu 300k kama mtalala kabisa kesho muamkie kazini 600k itawatosha wote wawili

Msisahau kinga
 
Watu wengi huwa wanzani kutoka na mtu ni gharama, hii inategemeana na ueleo wako, mnatoka kwa ajili ya maongezi au kutumia.
Mfano unaweza kwenda sehemu ya gharama kubwa lakini ukaishia kunywa soda au juice,
 
Habari za wakati huu wajuvi wa mambo, ndugu yenu nimekuja hapa kuomba Msaada wenu.

Ninaishi Dar es salaam, Niko na Mpenzi wangu ambae tuko mwanzoni kabisa mwa mahusiano, Si mtu wa uchumi wa chini na si wa juu sana naweza sema ni mtu wa Uchumi wa kati Juu (mazingira aliyokulia)...

Nimekuwa nikifikiria kumtoa out usiku mmoja ila kila ninachofikiria naona nakosea, nawaza kumpeleka sehemu fulani nzuri patulivu pa kupata chakula kizuri...

Naomba Mawazo yenu katika KuPlan huu mtoko, Kuanzia mapendekezo ya sehemu ya kwenda na gharama zake kama itawezekana.....
Nitashukuru kwa kila mawazo yenu.


*Hanywi Pombe.

*Anapenda Muziki ila hawezi cheza kwenye umma wa watu.
View attachment 1673581
Unatakiwa mkiingia kwenye mahusiano deep mpaka ndoa basi mwendo uwe ndiyo huo huo, uendeleze ulichokianza, kumbuka jinsi atakavyo yapokea haya kwa siku ya kwanza atarajia maisha yake yote ukibadilisha tu mahusiano /ndoa chali
 
Sehemu atakae enjoy na wewe uta enjoy ni hotel za five star ambapo nje kuna swimming pool, pia kama kutakua na live band mkae huko mle, mchezi mziki, muogelee na mwisho mkalegezane viungo ni burudani sana na uwa inaleta heshima sana
 
Sehemu atakae enjoy na wewe uta enjoy ni hotel za five star ambapo nje kuna swimming pool, pia kama kutakua na live band mkae huko mle, mchezi mziki, muogelee na mwisho mkalegezane viungo ni burudani sana na uwa inaleta heshima sana
Kama ulivyosema iwe Ni kitu ambacho anaweza kuendelea nacho.
 
Kama ulivyosema iwe Ni kitu ambacho anaweza kuendelea nacho.
Yes upo sahihi, lengo ni burudani atakayompa kama wakipata buradani na akafurahi basi iwe mara kwa mara sio baada ya muda aache au kusitisha kabisa, anaweza badilika akawa anampeleka sehemu mbalimbali


Ila mimi ya kwenda hotelin kutumia siku yenu pamoja siku nzima inabamba sana Karucee yani sana jaribu utoke na shemeji ufurahi
 
Mpeleke guest house tu kapige pumb.u nyingi sana..wachana na uzungu huo wa kwenda sijui out na wakati mhusika mwenyewe ana mabwana kibao..
 
Babuuu unachokifikiria ndiyo sahihi hichohicho we mpeleke unakoona panafaa kwa upeo wako na jinsi unavyomjua, tutakushauri sehemu gani muende alafu akapachukia na kukuona lofa utakuja kutulaumu hapa. We mpeleke unapopafikiria ndiyo sehemu sahihi.
Nashukuru Mkuu[emoji120]
 
Kama hampendi kurukaruka vijana wa kidimbwi
[emoji116]
Best Western coral beach hotel ,gharama zako mkuu 300k kama mtalala kabisa kesho muamkie kazini 600k itawatosha wote wawili

Msisahau kinga
Mhhh mkuu hapa parefu sitaweza afford, lakini nashukuru siku nikizipata nitakumbuka hili[emoji120]
 
Unatakiwa mkiingia kwenye mahusiano deep mpaka ndoa basi mwendo uwe ndiyo huo huo, uendeleze ulichokianza, kumbuka jinsi atakavyo yapokea haya kwa siku ya kwanza atarajia maisha yake yote ukibadilisha tu mahusiano /ndoa chali
Nashukuru kwa fikra zako zenye msaada mkuu[emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sehemu atakae enjoy na wewe uta enjoy ni hotel za five star ambapo nje kuna swimming pool, pia kama kutakua na live band mkae huko mle, mchezi mziki, muogelee na mwisho mkalegezane viungo ni burudani sana na uwa inaleta heshima sana
huko 5 star gharama zikoje mkuu...?
 
Back
Top Bottom