perfect hunter
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 153
- 94
Mkuu, hii ulichukua kwa bei gani na uliagiza nje au hapa hapa mjini?Mm nimenunua honda click....automatic....mafuta full tank sh 8500...kwa safar za hapa mjini kananisev sana na hata kama ni kilaza wa kuendesha pikpik namna gani utaweza tu
mkuu....anatudanganya ...au n us dollarMkuu, hii ulichukua kwa bei gani na uliagiza nje au hapa hapa mjini?
Nadhan bei ya mafuta alisema huenda ikawa ndo yenyewe, nimeangalia full tank kanakula lita 5 na nusumkuu....anatudanganya ...au n us dollar
hahaaaaah......Nadhan bei ya mafuta alisema huenda ikawa ndo yenyewe, nimeangalia full tank kanakula lita 5 na nusu
Katamu sanaa kwa kuzungukia mjinihahaaaaah......
xr 250Nahitaj mnishaut ni pikipiki gan nzur kwa ajil ya kuzungukia mizunguko yng ya kawaida tu na si ya biashara..na nahitaj iwe angalau sport kiaina..
Asanteni..
Lita moja inaenda kilomita ngapi mkuu? Na no being gani kuidungua shop.Mm nimenunua honda click....automatic....mafuta full tank sh 8500...kwa safar za hapa mjini kananisev sana na hata kama ni kilaza wa kuendesha pikpik namna gani utaweza tu
hawezi kuwa anadanganya maana kulingana na watengenezaji was hip piki piki full tank ni Lita 5.5 so jamaa hajakosea sana. Hesabu imemchenga kidogo hapo!mkuu....anatudanganya ...au n us dollar
Nlinunua mtumba 2.5m...ina rejeta na inatumia mkanda na sio mnyororo.....lita 1 kwa km 60Mkuu, hii ulichukua kwa bei gani na uliagiza nje au hapa hapa mjini?
Wese la 20,000/- naichungulia dodoma ile kutoka dsm[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Nlinunua mtumba 2.5m...ina rejeta na inatumia mkanda na sio mnyororo.....lita 1 kwa km 60
Ofcoz inafika tu coz inatumia coolant kabisa...ila brand new zinauzwa ilala pale 5.7m...mtumba 3mWese la 20,000/- naichungulia dodoma ile kutoka dsm[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mm nimenunua honda click....automatic....mafuta full tank sh 8500...kwa safar za hapa mjini kananisev sana na hata kama ni kilaza wa kuendesha pikpik namna gani utaweza tu
Mkuu bei ya hiyo huoniaoAngalia lengo la kununua. Kama ni misele ya town na sio mtu wa kupenda makuu tafuta Huoniao, ni pikipiki ndogo, spear kibao mafuta ndio kabisaa inanusa. Maana ushenzi wa pikipiki hata ununue ya 5ml bado utapigwa na jua na mvua, na risk of injury iko palepale mkuu.
Zitakuwa 1.8 kwa sasa. ukienda madukani utapata jibu la uhakika zaidiMkuu bei ya hiyo huoniao
Pic yake
Endelevu kivipi mkuu au boxer zinaharibika mara kwa mara....?Kama kipato chako ni endelevu nakushauri nunua Boxer. Na kama hiyo hela ni ya "ngama" nunua pikipiki ya Mchina hasa SANLG. Inadumu na inauzika haraka pale utakapohitaji kuiuza. Na vipuri vyake vinapatikana kila kona na bei ni mchekea.
Mkuu, kuharibika kwa chombo kunategemea na uimara (kilivyotengenezwa) na matunzo. Kwa Boxer vipuri vyake ni ghali kulinganisha na hizi za "mchina" hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kipato endelevu.Endelevu kivipi mkuu au boxer zinaharibika mara kwa mara....?