MSAADA Nateseka

afu Kama nakufahamu?!! Na Ni mweupe.
 
Bado hujauchukia unene, siku ukiuchukia utachukua hatua
 
Wakati wengine wanautafuta unene, wengine wanaukataa...Daaahh

Naunga mkono hoja zote zilizotangulia..
Sidhan kama anauchukia unene
Anachukia kuwa na msambwanda

Mie nna kg 78 ila siyo mnene kivile
 
tako lako limemzidi Daudi Albert Bashite....... tuanzie hapo kwanza
 
acha kabisa kutumia madawa ya kichina ya kuongeza makalio yata kuuwa, wengine huwa yanawakataa………………. ukifuata ushauri huu ndani ya miezi6 mwili wako wa kawaida utarudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…