Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
afu Kama nakufahamu?!! Na Ni mweupe.Habari wakuu,Mimi ni mwanaume umri miaka 22.
Kilichonifanya niandike hapa ni kuhusu tatizo nililonalo linalonisumbua.
Mimi ni mnene na kilo 75 na urefu 160cm.
Shida inakuja nauchukia mwili wangu hasa upande wa kuvaa.yaani na makalio makubwa kidogo,mbaya zaidi kalio moja kubwa kuliko lingine na limejigawa yaani upande wa juu kubwa na wa chini dogo imepelekea hata nikivaa Nguo za kuchomekea lile kalio lingine lilojigawa linaweka mchomozo.kitu ambacho kinanyima raha sana wakuu nakua sina confidence mbele za watu.
Naombeni msaada wakuu was Dawa hata wa mawazo.asanteni
Sidhan kama anauchukia uneneWakati wengine wanautafuta unene, wengine wanaukataa...Daaahh
Naunga mkono hoja zote zilizotangulia..
tako lako limemzidi Daudi Albert Bashite....... tuanzie hapo kwanzaHabari wakuu,Mimi ni mwanaume umri miaka 22.
Kilichonifanya niandike hapa ni kuhusu tatizo nililonalo linalonisumbua.
Mimi ni mnene na kilo 75 na urefu 160cm.
Shida inakuja nauchukia mwili wangu hasa upande wa kuvaa.yaani na makalio makubwa kidogo,mbaya zaidi kalio moja kubwa kuliko lingine na limejigawa yaani upande wa juu kubwa na wa chini dogo imepelekea hata nikivaa Nguo za kuchomekea lile kalio lingine lilojigawa linaweka mchomozo.kitu ambacho kinanyima raha sana wakuu nakua sina confidence mbele za watu.
Naombeni msaada wakuu was Dawa hata wa mawazo.asanteni
Wewe una umbo kubwaSidhan kama anauchukia unene
Anachukia kuwa na msambwanda
Mie nna kg 78 ila siyo mnene kivile
Hapana mkuu Mimi mweusi tu