asante saana...,ntabadilisha style ya maisha..,ila kitu kinachonsmbua n fillings sana sme tme..Kwa ufupi, hiyo Hali ya kawaida ukichange style ya maisha yako hayo unayoishi nayo itastop....haaah ila comments za JF zengne htr
Asante saana mkuu mm n MME na nashukuru kwa ushaur wako...Nilikuwa najiuliza u jinsia gani mkuu
Ushauri ni huu
Kwanza ujue kuwa mwili huwa unazitoa unapokuwa umesimamisha ww unaonaga kawaida tu lkn zile sio sperm ila ni maji ya shahawa ambayo husafisha njia kabla ya shawaha kupita kwaiyo ni kawaida humwi wala nini pia inatokana na hujafanya ngono siku nyingi nayo huwa ni sababu
Kweli mkuuuu..ndio ubinadam huoasante saana...,ntabadilisha style ya maisha..,ila kitu kinachonsmbua n fillings sana sme tme..
Humu JF yabd uwe mvmlivu saana bila ya hvyo waweza tukana tukana ovyooo tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha...Habarini Za Mchana Wana JF..
Naombeni Ushauli Juu Ya Hii Shida..
Pale nivuapo nguo ya ndani{boksa} huwa nakuta mabaki ya matone ya manii so najiuliza hali hii ni kawaida au ni ungonjwa?
Naombeni majibu pleaseee...
Hawezi kuyasikia, labda kuyahisi.Amekwambia anasikia maumivu?
Kuna tofaut kati ya manii ...madhii na wadii ...watu wanachanganya hivi vitu ....manii hutoka pale wakat wa kufka kilelen n mazito meupe na harufu flan .....madhii hutoka wakat wa kuchezeana au mtu anapofikir mapenz ..n mepes sana meupe na s mazito ka manii .....tatzo kama ulikuwa ukijichua sana pia inawezakana ....ila chunguza n yap kat ya hayoHabarini Za Mchana Wana JF..
Naombeni Ushauli Juu Ya Hii Shida..
Pale nivuapo nguo ya ndani{boksa} huwa nakuta mabaki ya matone ya manii so najiuliza hali hii ni kawaida au ni ungonjwa?
Naombeni majibu pleaseee...
Naunga kiwiko hoja.utakuwa una magonjwa ya ngono... huo ni usaha unafikiri ni manii
Kuna tofaut kati ya manii ...madhii na wadii ...watu wanachanganya hivi vitu ....manii hutoka pale wakat wa kufka kilelen n mazito meupe na harufu flan .....madhii hutoka wakat wa kuchezeana au mtu anapofikir mapenz ..n mepes sana meupe na s mazito ka manii .....tatzo kama ulikuwa ukijichua sana pia inawezakana ....ila chunguza n yap kat ya hayo