Msaada: Natokwa na manii (shahawa) mara kwa mara

Hii inasabibishwa Na Kupiga Nyeto za Mara Kwa Mara pamoja Na Kuangalia Pornography wala Hunidanganyi kitu kwa hili.
Mkuu Tayari Nimeshakutambua Kama wewe Ni Mwanachama mwenzetu Wa CHAPUTA.

Acha Kupiga Nyeto utajitibu.
kaaah huko nilishatoka tangu nipo darasa la 7 mkuu
 
Zinakuwa usawa gani..isije ikawa kuna jini mahaba anakupiga vitu bila kujua
 
Jini mahaba hata kama upo mishe kweeel?ehehe hilo litakuwa s mahaba bali bali makata ehehe
 
Habarini Za Mchana Wana JF..
Naombeni Ushauli Juu Ya Hii Shida..

Pale nivuapo nguo ya ndani{boksa} huwa nakuta mabaki ya matone ya manii so najiuliza hali hii ni kawaida au ni ungonjwa?

Naombeni majibu pleaseee...


Huo ni ugonjwa wa mfadhaiko ambao unatokana na kujichua chua, hivyo unajikuta unapoteza muda mwingi kufikiri unasugua mademu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…