Msaada:Nawahi kufika kilelen mapema ndani ya dk 10 tu

Baada ya matumiz ya dawa utakayompa sharti aje atoe mrejesho kwako kama kweli imemsaidia,andaa papuchi kwa majarbio mheshimiwa Dokta

Ikinisaidia ntakuja kutoa huo mrejesho haina shida
 
Ni kweli mkuu huyu anaonekana kakomaa kwenye umalaya na ulokole wake fake. Acha zinaa kama huwezi oa ili utulie. Pamoja na hzo dawa unazotafuta usipoacha kuna dalili ya kuanguka "jukwaani"

Asante kwa kupewa nguvu ya kuhukumu binadam mwenzio kwa maneno makali kama hayo
 

Sawaaa...mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…