Msaada:Nawahi kufika kilelen mapema ndani ya dk 10 tu

Msaada:Nawahi kufika kilelen mapema ndani ya dk 10 tu

PlayBoyMwema

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
1,714
Reaction score
1,829
Habar zenu wadau wa JF naombeni msaada wenu mwenzenu ninasumbuliwa na tatizo la kuwahi kufika kilelen mapema nikiwa nasex na mpenz wangu kibaya zaid baada ya hapo sitaman tena kuendelea kufanya hilo tendo najikuta mwili hauna nguvu kias kwamba wasichana wamekuwa wakinikimbia mara kwa mara kwa vile siwatimizii haja yao hili tatizo limenianza yapata mwezi wa tatu huu kipind cha nyuma nilikuwa safi tu lakin saiv nashindwa hata kwenda raundi mbili...nisaidien jaman na mimi nifurahie mapenz kama wengine
 
nitakusaidia kadri ya uwezo wangu, jitahidi kufanya mazoezi ya viungo kila siku, kunywa maji mengi, pata muda mzuri wa kupumzika, kula chakula halisi kwa wingi, ugali wa dona, usipendelee vitu vya mafuta, jitahidi kutokuwa na stress, na kuwa na chemistry na hiyo kitu na hasa ujiandae kiakili kabla ya kufanya hyo mambo (uwe na muda mwingi wa maandalizi), jitahidi katika milo yako usikose pilipili na tangawizi kwa wingi, kwa maelezo zaidi ni pm kaka
 
ww tuliza mawazo acha kupania game kiivyoo, jitahidi kufanya mazoezi ya viungo then mambo yatakuwa poa, usiwaze sana tatizo wakati wa mechi ili uwe strees free sawa mkuu?
 
nitakusaidia kadri ya uwezo wangu, jitahidi kufanya mazoezi ya viungo kila siku, kunywa maji mengi, pata muda mzuri wa kupumzika, kula chakula halisi kwa wingi, ugali wa dona, usipendelee vitu vya mafuta, jitahidi kutokuwa na stress, na kuwa na chemistry na hiyo kitu na hasa ujiandae kiakili kabla ya kufanya hyo mambo (uwe na muda mwingi wa maandalizi), jitahidi katika milo yako usikose pilipili na tangawizi kwa wingi, kwa maelezo zaidi ni pm kaka

Dah nashukuru kwa ushauri wako atleast umenipa mwanga nitajitaid nifate maelekezo yako
 
ww tuliza mawazo acha kupania game kiivyoo, jitahidi kufanya mazoezi ya viungo then mambo yatakuwa poa, usiwaze sana tatizo wakati wa mechi ili uwe strees free sawa mkuu?

Dah suala la stress inawezekana ndio chanzo kikuu maana huwa nawaza kazi hata huo muda wa kusex... Thanx
 
Hivi ni nani aliwaambia kuwa Formula ni zaidi ya goli moja!!!!! Hii kitu haina kanuni maalum cha msingi nikuheshimu hisia na afya ya mwili wako. Ndio maana iko siku utakwenda 2 au 3 na wakati mwingine 1 tu. Usipende sana au kuona fahari kufunga magoli mengi kwakulazimisha hata kama mwili hautaki. UNAJIKOMOA BILA WEWE KUJUA na ukifikisha miaka 50... ndio utajua faida na hasara za kuwa fahari la mbegu ulipokuwa kijana. Waafrika wengi tuna kasumba hii tukidhani ndio urijali kumbe tunajimaliza sana bila kujua. Miaka ya 80 vijana wengi tulikuwa tunaona fahari sana kumaliza konyagi chupa 2... au Bia 15... ndio unaonekana kijana wa shoka. Ila wengi walipata athari za INI at the age of 40s....
 
pole yako kwakifupi huna nguvu zakiume ni tatizo hilo itafikia stage hata wiki mwezi huna hamu wala hufanyi na ukitaka kuduu unakua unalazimishwa, nipm upesi nikupatie dawa ili uepukane na hiyo adha
 
Back
Top Bottom