Ricecooker
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 500
- 904
Duuu jf noma.kweli usitukane wakungaKile cheti chako cha diploma upper second class ulichokuja kukinadi hapa kwa mbwembwe na dharau kibao "et magufuri kasema chuoni tunaenda vipanga tu" leo unataka kukiweka bond? Sasa mbona vipanga tu mlioenda chuo hamjapewa mkopo?
Bado Chuo cha usafirishaji NITPole sana mkuu. Ukikwama kabisa nenda uongozi wa chio bila shaka watakusaidia tena ikiwezekana waambie unaweka vyeti vyako. Ila mkuu vyuo bado havijafungwa kwani
Pole sana kuna mtu hapo huoni ningemwambia akusaidie iseeBado Chuo cha usafirishaji NIT
Tafuta application ya BRANCH wanatoa mkopo bila kuweka bond kitu chochote
Niuzie hyo laptopMambo yamenifika shingoni wakubwa tunaosoma chuo bila mkopo ni shida tupu.
Nimeamua kuweka vyeti vyangu bond kwa mtu atakae nisaidia laki saba nilipe chuo ili niweze kufanya mtihan ulioanza leo hii. 13/08/2018
1. Cheti cha form 4
2. Certificate ICT
3. Diploma in computer science
4. Jamaan naongeza na laptop yangu wakubwa
Asanteni ikiwezekana leo leo
na baadhi Mzumbe.Bado Chuo cha usafirishaji NIT