Msaada: Naweza kupata huduma ya kiubalozi kwenye nchi isiyo ya kwangu?

Msaada: Naweza kupata huduma ya kiubalozi kwenye nchi isiyo ya kwangu?

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Wakuu habarini,

Naomba kuuliza jambo hili moja, kuwa naweza pata huduma ya kiubalozi kwenye nchi isiyo yangu ikiwa pia balozi hiyo ipo nchini kwangu.

Mfano nafukuzia visa ya aina fulani ambayo nchi yangu haina au sio eligible, je, ninaweza kwenda nchi nyingine na kuomba aina hiyo hiyo ya visa na kukubalika?

Nawasilisha.
 
Inawezekana kama una resident permit Kwa nchi utakayoombea.

Nchi kama Marekani inashauri uombe viza yao kwenye nchi yako, na kama utalazimika kuomba nje ya nchi yako basi kwenye nchi hiyo uwe na makazi halali ya kudumu.
 
Inawezekana kama una resident permit Kwa nchi utakayoombea.

Nchi kama Marekani inashauri uombe viza yao kwenye nchi yako, na kama utalazimika kuomba nje ya nchi yako basis kwenye nchi hiyo use na makazi halali ya kudumu.
Ebhana eeh kimeumana, nataka niende nchi moja wapo ya SADC sijui itakuwaje!!!
 
Kama mtanzania mfano upo South Africa na unataka kwenda UK au USA .Utapewa Visa na Ubalozi wa UK South Africa au wa USA iwapo una Residence Permit ya South Africa (iwe ya kikazi au student) kama una just normal Visa ya aina yeyote ile hutopewa Visa. Hapa Tanzania Mfano Muhindi au Mnaigeria hawezi pewa visa na Ubalozi wa USA au Canada au China uliopo Dar es Salaam. Kama ana Residence Permit (iwe work permit au Student permit) anatakiwa aende nchini kwao akaiombe.
 
Kama mtanzania mfano upo South Africa na unataka enda UK au USA .Utapewa Visa na Ubalozi wa UK South Africa au wa USA iwapo una Residence Permit ya South Africa (iwe ya kikazi au student) kama una just normal Visa ya aina yeyote ile Utopewa Visa. Hapa Tanzania Mfano Muhindi au Mnaigeria awezi pewa visa na Ubalozi wa USA au Canada au China uliopo Dar es salaam. Kama ana Residence Permit (iwe work permit au Student permit) anatakiwa aende nchini kwao akaiombe
Kama ndio hivyo ase ngoma imedunda pakubwa.
 
Hizi chimbo ndio zinasababisha wabongo kuwa wachache mamtoni na kukosa connection.

Fursa za kuingia Marekani zipo wazi wala siyo kificho, kuna program nyingi tu za kila mwaka.
Ombeni nanyi mtapewa! Weka hapa hizo fursa basi ili watu Waende kula mabaga na mapiza kwa Mzee Biden
 
🤣🤣🤣kuna Program November hii Kwa Mzee Obama njoo Chimbo nikupe Code😁😁
Hizo code kwa nini usitoe hapa hapa ili wazoefu waongezee nyama wasafiri hawana mambo ya inbox ni hapa hapa mazee...kama ni tango pori unaambiwa hapo hakuna safari
 
Hizo code kwa nini usitoe hapa hapa ili wazoefu waongezee nyama wasafiri hawana mambo ya inbox ni hapa hapa mazee...kama ni tango pori unaambiwa hapo hakuna safari
Jamaa nimeshamfungukia code na mpaka namba ya Simu ya afisa wa Ubalozi wa USA Dar es salaam pale opp na Ostabay Police nimeshampatia na iwapo anataka msaada zaidi ntampatia PM! Humu kuna vichaa, wenye msongo wa mawazo, Wapumbavu, Wajuaji, waliokata tamaa etc- ata wewe unaonekana una matatizo . matango pori ndo kitu gani??
 
Back
Top Bottom