Msaada: Naweza kupata huduma ya kiubalozi kwenye nchi isiyo ya kwangu?

Msaada: Naweza kupata huduma ya kiubalozi kwenye nchi isiyo ya kwangu?

Kwenye mambo ya kuomba Visa ikiwa hakuna ubalozi sina uzoefu ila ikiwa utapatwa na shida yeyote na hakuna ubalozi wa Tanzania hapo unaweza kwenda ubalozi wa Uingereza ukapewa msaada kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. I think hiyo griund itakua inacover humanitarian ground more.
 
Jamaa nimeshamfungukia code na mpaka namba ya Simu ya afisa wa Ubalozi wa USA Dar es salaam pale opp na Ostabay Police nimeshampatia na iwapo anataka msaada zaidi ntampatia PM! Umu kuna vichaa, wenye msongo wa mawazo, Wapumbavu, Wajuaji, waliokata tamaa etc- ata wewe unaonekana una matatizo . matango pori ndo kitu gani??
Umpe namba ya ofisa wa ubalozi ili imsaidie nini?

Ubalozi wa Marekani hakuna fursa yoyote inayotolewa Kwa misheni town, ni kwamba wanashindanisha sifa na wenye sifa wanachukuliwa kwenda Marekani Kwa ajili ya program zao mbalimbali.
 
nice, information tamu sana hii
Kwenye mambo ya kuomba Visa ikiwa hakuna ubalozi sina uzoefu ila ikiwa utapatwa na shida yeyote na hakuna ubalozi wa Tanzania hapo unaweza kwenda ubalozi wa Uingereza ukapewa msaada kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. I think hiyo griund itakua inacover humanitarian ground more.
 
Jamaa nimeshamfungukia code na mpaka namba ya Simu ya afisa wa Ubalozi wa USA Dar es salaam pale opp na Ostabay Police nimeshampatia na iwapo anataka msaada zaidi ntampatia PM! Umu kuna vichaa, wenye msongo wa mawazo, Wapumbavu, Wajuaji, waliokata tamaa etc- ata wewe unaonekana una matatizo . matango pori ndo kitu gani??
Watu tulioanza safari enzi za kubandika picha hatupo kwenye hilo Kundi tunauchukia sana Umasikini...
 
Umpe namba ya ofisa wa ubalozi ili imsaidie nini?

Ubalozi wa Marekani hakuna fursa yoyote inayotolewa Kwa misheni town, ni kwamba wanashindanisha sifa na wenye sifa wanachukuliwa kwenda Marekani Kwa ajili ya program zao mbalimbali.
Upo sahihi uzuri vijana watakuja na mrejesho hapa yaani aende USA kwa njia ya ofisa mbona ingekua rahisi sana...
 
Upo sahihi uzuri vijana watakuja na mrejesho hapa yaani aende USA kwa njia ya ofisa mbona ingekua rahisi sana...
Yaani ninachokumbuka palikuwa na consular mmoja tu akiitwa Robert au Bob ndio alikuwa akiwafanyia feva Wabongo first class waliokuwa wanakunywa wote pombe Sea cliff hotel na viwanja vya Masaki.
 
Yani ninachokumbuka palikuwa na consular mmoja tu akiitwa Robert au Bob ndio alikuwa akiwafanyia feva Wabongo first class waliokuwa wanakunywa wote pombe Sea cliff hotel na viwanja vya Masaki.
😀😀😀
 
Watu tulioanza safari enzi za kubandika picha hatupo kwenye hilo Kundi tunauchukia sana Umasikini...
Hata mimi! Safari yangu ya kwanza ya nje ya Tanzania ilikuwa 1992 Hillbrow Johanesburg pale nilikaa 4 yrs. Baada ya hapo ikawa ni kujaza page za passport na visa stickers
 
In kwenda USA na hutaki kutumia nchi yako ya TOZO LAND kuombea visa?
 
Umpe namba ya ofisa wa ubalozi ili imsaidie nini?

Ubalozi wa Marekani hakuna fursa yoyote inayotolewa Kwa misheni town, ni kwamba wanashindanisha sifa na wenye sifa wanachukuliwa kwenda Marekani Kwa ajili ya program zao mbalimbali.
Usilolijuwa ni sawa na usiku wa GizA ! Akuna visa za Mchongo labda kwenye nchi za Kiafrica. Muhusika nimeshampa mwongozo na ameshanijulusha kuwa ameshawasiliana na afisa wa USA embassy kwa no niliyompa(afisa embassy akiwa ofisini kwake kwa Mtogole🤣🤣🤣KIDDING) Usifikirie kila mtu ni Tapeli au mission town .Tatizo watanzaia wengi tuna mawazo mgando sana! Kila kitu tunafikiria kutapeliwa au kuhibiwa!
 
Ata mimi! Safari yangu ya kwanza ya nje ya Tanzania ilikuwa 1992 Hillbrow Johanesburg pale nilikaa 4 yrs. Baada ya hapo ikawa ni kujaz page za passport na visa stickers
Hapo sawa mimi nilianza mwaka 98 hukohuko Cape Town ile ndio ilikua Nchi ya kujifunzia safari huo ubalozi wa SA Daslm tulikua tunaacha deposit laki sita ukirudi ndani ya Visa yako wanakuridishia hela yako ila watu walikua hata hawaifikirii hiyo deposit maana wengi walikua wanarudi wapo vizuri...
 
Hapo sawa mimi nilianza mwaka 98 hukohuko Cape Town ile ndio ilikua Nchi ya kujifunzia safari huo ubalozi wa SA Daslm tulikua tunaacha deposit laki sita ukirudi ndani ya Visa yako wanakuridishia hela yako ila watu walikua hata hawaifikirii hiyo deposit maana wengi walikua wanarudi wapo vizuri...
South Africa ni 90 Visa free, yaonekana kipindi hicho masharti yalikuatofauti.
 
South Africa ni 90 Visa free, yaonekana kipindi hicho masharti yalikuatofauti.
Pana mwaka Rais wa Tanzania aliomba tuwekewe visa ili kupunguza wimbi la wanaotoka na pia Bunge likakaa kuweka sheria kali kwa wanaorudishwa walipe fine au waende jela Rais Kikwete akaja kufuta huo ujinga na kuweka mazingira rahisi ya kila Mtanzania kupata passport na kuweza kusafiri...
 
Back
Top Bottom