Josh the best
New Member
- Apr 22, 2019
- 2
- 0
Naombeni msaada wa ujenzi, eti unaweza kupiga plasta kwenye ukuta kwa kutumia white cement na ikawa umepiga ndege wawili kwa wakati mmoja yaani gharama za plasta ya kawaida na ya ku-skim baadae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pia plaster huwa inafanya nyumba ipumue ukitumia white cement kwa ndani nyumba haiwezi kupumua.Naombeni msaada wa ujenzi eti unaweza piga plasta kwenye kuta kwa kutumia white cement na ikawa umepiga ndege wawili kwa wakati mmoja yaani gharama za plasta ya kawaida na ya ku skim baadae
Mkuu pia plaster huwa inafanya nyumba ipumue ukitumia white cement kwa ndani nyumba haiwezi kupumua.
Sasa hivi kuna njia nyingine inatumika na unapata matokeo yaleyale, lakini plasta lazima iwe imefanyika kwanza.Naombeni msaada wa ujenzi eti unaweza piga plasta kwenye kuta kwa kutumia white cement na ikawa umepiga ndege wawili kwa wakati mmoja yaani gharama za plasta ya kawaida na ya ku skim baadae.
White cement ipo juu kidogo usitumie kwenye plastaitakuala pesa nyingi, kwenye plasta tumia cement za kawaida , bali white cement uje kutumia kwenye skimming tuNaombeni msaada wa ujenzi, eti unaweza kupiga plasta kwenye ukuta kwa kutumia white cement na ikawa umepiga ndege wawili kwa wakati mmoja yaani gharama za plasta ya kawaida na ya ku-skim baadae?
White cement kwa ndani hasa kwa kuta zilizo na bafu, choo ni nzuri ukuta hautoi fungus wala kupasukaMkuu pia plaster huwa inafanya nyumba ipumue ukitumia white cement kwa ndani nyumba haiwezi kupumua.
Sasa hivi kuna njia nyingine inatumika na unapata matokeo yaleyale, lakini plasta lazima iwe imefanyika kwanza.
Mimi nilishauriwa kuchanganya cement na rangi na ukaskim kuliko kusikim kwa kutumia white cement, kumbuka mfuko wa cement ni shilingi 13000 mpaka 14000 wakati white cement ni elfu 18
mkuu, je wall plaster/sealer inaweza kutumika kama mbadala wa white cement au gypsum powder?Hilo haliwezekani white cement haiwez tumika kwny plaster maana ina magnesium na iron iliongezwa kwa wingi ndo maana inakuwa nyeupe ambayo haiwezi kuchanganyika na mchanga kirahisi kwa kupiga na iko adhesive mnoo(ina hali ya ugundi zaidi) kuliko cement ya kawaida.
Kinachoweza kutumika ni cement ya kawaida inaweza changanywa na rangi na kutumika kuskimia lakini si white cement kwny plaster.
mkuu, je wall plaster/sealer inaweza kutumika kama mbadala wa white cement au gypsum powder?White cement kwa ndani hasa kwa kuta zilizo na bafu, choo ni nzuri ukuta hautoi fungus wala kupasuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga plaster na cement za kawaida, baade kwenye skimming tumia white cement kwa nje na kama unataka kutumia powder ndani sio mbaya hutaona mipasuko wala fungas, nje ni ni lazima utumie white cement kwaajili ya weathermkuu, je wall plaster/sealer inaweza kutumika kama mbadala wa white cement au gypsum powder?
Mkuu plaster tiyari ndio nataka kufanya skimming. sasa ndio nilikuwa naomba kufaham skimming ya gypsum powder au white cement na wall plaster ni ipi nzuri na imara zaidiPiga plaster na cement za kawaida, baade kwenye skimming tumia white cement na gybroc powder hutaona mipasuko wala fungas
Tumia white cement ni bomba zaidiMkuu plaster tiyari ndio nataka kufanya skimming. sasa ndio nilikuwa naomba kufaham skimming ya gypsum powder au white cement na wall plaster ni ipi nzuri na imara zaidi
Hapa ni dinning ila ukuta wa bafuni pamoja kuna tiles ila inavyonza maji inaharibu ukuta wa dinning ingekua nimepiga ndani white cement hili lisingetokea,Mkuu plaster tiyari ndio nataka kufanya skimming. sasa ndio nilikuwa naomba kufaham skimming ya gypsum powder au white cement na wall plaster ni ipi nzuri na imara zaidi
pole sana mkuu. kwa hiyo maeneo ya majimaji white cement ni muhimu sanaHapa ni dinning ila ukuta wa bafuni pamoja kuna tiles ila inavyonza maji inaharibu ukuta wa dinning ingekua nimepiga ndani white cement hili lisingetokea,View attachment 1606971
Of coursepole sana mkuu. kwa hiyo maeneo ya majimaji white cement ni muhimu sana