Mbuguni TPC
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 535
- 405
unatakiwa saivi uwe mi..... GENTAMYCINEBinafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili.
Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba [emoji23][emoji23]
Nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali.
Je, hii ni kawaida? Nawezaje kuacha hii tabia?
Jamaa ana hallucination wewe unampotoshaEndelea mkuu, unapunguza stress, unacontrol emotion. Lakini pia ni dalili ya kuwa wewe unaouwezo mkubwa mno wa akili.
Sio kila mtu anao uwezo wa kuongea mwenyewe kwa mpangilio maalum wa kueleweka ni watu wachache mno wenye uwezo huo ila sijamaanisha ila kuongea hovyohovyo ya watu wenye matatizo ya akili. Naamanisha ile hali ya kuweza kutengeneza kikao au kijiwe wewe mwenyewe na story zikanoga hiyo ni dalili ya uwezo mkubwa wa akili.
You're not crazy - science proves talking to yourself is great for stress relief
Do you talk to yourself? If you don’t, and you’re stressed out, it might be something to consider. New research shows that, despite the stigma …bgr.com
Why Do People Talk to Themselves?
What causes people to talk to themselves? There may not be one specific reason people talk to themselves, but there are benefits to it.www.webmd.com
Science Says People Who Talk To Themselves Are Geniuses - LifeHack
I talk a lot to myself. It helps me to keep my concentration on the activity on hand, makes me focus more on my studies, and gives me some prettywww.lifehack.org
Ndo nini hii fafanua.Jamaa ana hallucination wewe unampotosha
Napishanaga na watu wa design yako najiuliza kuna nini, unamuona tu anaongea mwenyewe kwa mda mrefu,Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili.
Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba [emoji23][emoji23]
Nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali.
Je, hii ni kawaida? Nawezaje kuacha hii tabia?
Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili.
Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba [emoji23][emoji23]
Nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali.
Je, hii ni kawaida? Nawezaje kuacha hii tabia?
Nadhani ni ile hali ya kuimagine vitu na kuona kama vipo kweli, kwa mfano unaweza kuimagine kitu na kikakupa furaha kabisa hali ya kuwa ni mawazo tu ..Ndo nini hii fafanua.
Inawezekana kila kitu kina side effect fafanua hiyo ni nini?
Huyu ni mimi kabisa namm nikifumwa hupretend km naimba yaaniBinafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili.
Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba [emoji23][emoji23]
Nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali.
Je, hii ni kawaida? Nawezaje kuacha hii tabia?
Una kitu kinaitwa intrusive imagination...ukikifanyia kazi unaweza kutoka na wazo bora sana hasa kwenye ubunifu wa sanaa na sayansiNadhani ni ile hali ya kuimagine vitu na kuona kama vipo kweli, kwa mfano unaweza kuimagine kitu na kikakupa furaha kabisa hali ya kuwa ni mawazo tu ..
Tuko wengiMkuu hauko peke yako mwenyew ni muhanga pia kwenye kuimba nimeona kama umenisema mimi kabisa ndo zangu.
Tupo wengiYaani wewe upo kama mimi na kwangu mimi taaluma yangu ni sheria so kila nikiwa peke yangu ikitokea issue yoyote iwe nimesoma au kusikia sehemu naanza kuongea kwa kujenga hoja za pande zote mbili!
Pia nina hilo tatizo la kuongea pekee yangu ila sio kwa mda mrefu. Hujikuta nimetamka neno ambalo lilikuwa kwenye mawazo yangu. Mke wangu kanizoea but its quite embarrassing. Pia hupretend kuwa nilikuwa nasema jambo jingine.Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa na sijawahi kuwa bored ni simply because I have a tendency of talking alone, ninaweza kukaa peke yangu na kuanza kuongea kwa muda mrefu hata masaa mawili.
Mtu akiniona huwa nashtuka sana na kuanza ku-pretend kama naimba [emoji23][emoji23]
Nimejitahidi sana kuacha hii tabia lakini nashindwa kila nikifumwa huwa najiapia kwamba sirudii tena, lakini naishia kurudia kama awali.
Je, hii ni kawaida? Nawezaje kuacha hii tabia?
We jamaa ,[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa hapa ni bora uishi karibu na Dodoma ili usiwape kazi ngumu ndugu zako kukusogeza pale hospitali ya waheshimiwa [emoji16][emoji16]
Fanya liwezekanalo uishi mkoani Dodoma
Huwa napataga tabu sana kujiuliza kama nimesikiwa au la! yani tabu tupu ..Pia nina hilo tatizo la kuongea pekee yangu ila sio kwa mda mrefu. Hujikuta nimetamka neno ambalo lilikuwa kwenye mawazo yangu. Mke wangu kanizoe but its quite embarrassing. Pia hupretend kuwa nilikuwa nasema jambo jingine.
Google mkuuNdo nini hii fafanua.
Inawezekana kila kitu kina side effect fafanua hiyo ni nini?
Unavuta majani?Kitu cha Arusha?Money won't solve what am undergoing currently ..