Na hii ndio changamoto nyingine Kwa nchi yetu
Watu wakiugua tu, Cha Kwanza ni kukimbilia pharmacy kununua dawa
Lakini hata mgonjwa akifika hospital na asipewe dawa yoyote, atalalama sana
Kwahyo imekua kama kasumba kunywa dawa
Lakini above all, kunywa dawa Kwa maelekezo ya daktari tena wakati ukiwa unaumwa tu
Sent using
Jamii Forums mobile app