Msaada, nawezaje kuwapata UDOM? nateseka sana

Msaada, nawezaje kuwapata UDOM? nateseka sana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Mkuu nahitaji kufanyiwa marekebisho katika Application ya chuo , Hapo udom

Napiga Simu zenu hazipokelewi.

Email hazijibiwi.

Katika kuomba chuo nilikosea kuweka namba yangu ya First sitting, ambayo ndo nimeitumia kuomba mkopo .

Namba nilioweka ni ya second sitting

MSAADA WENU WAKUU MKUU
 
Back
Top Bottom