Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 644
- 927
Habari zenu wana jf,kutokana na bomoabomoa zinazoendelea kupisha ujenzi wa barabara nimejikuta naambulia bati na vitu vingine kama milango na madirisha.
Ninawaza kutumia bati zilezile pamoja na baadhi ya mbao,ili niezekee nyumba mpya kupunguza gharama za ujenzi ,bati ni za geji 28
Ni kwa namna gani naweza kuzuia bati hizo kuvuja wakati wa mvua?
Ninawaza kutumia bati zilezile pamoja na baadhi ya mbao,ili niezekee nyumba mpya kupunguza gharama za ujenzi ,bati ni za geji 28
Ni kwa namna gani naweza kuzuia bati hizo kuvuja wakati wa mvua?