Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,462
ana pepo/jini mahaba huyo
Ni kweli ukiwa una mke na unaota unafanya mapenzi ndani ya Usingizi huyo atakuwa ni Jini mahaba mbaya sana huyo Shetani anakuharibia ndoa yako na kuhusu maisha yako ya baadae Evarmana pepo/jini mahaba huyo
Haiwezekani kuondoka kiwepesi tu huyo ni shetani mbaya pepo mchafu anataka kuharibu ndoa yao hata wakijaribu Styles za ndoto hataweza kuondoka huyo shetani mbaya. bibie MwaliHakuna shida yoyote, ni ndoto tu, baada ya muda zitapita.
Kwanini asiongee na mke wake wajaribu styles za ndotoni?
Samahani, bila kupinga kauli yako nashindwa kabisa kuielewaHaiwezekani kuondoka kiwepesi tu huyo ni shetani mbaya pepo mchafu anataka kuharibu ndoa yao hata wakijaribu Styles za ndoto hataweza kuondoka huyo shetani mbaya. bibie Mwali
huyo hua ana fantasize havin sex with other women au mkewe hamridhishi...lakini kuota uko na mtu mwingine alafu ni mzuri au mtu uliyekua una hamu usex nae nayo ni tamu :happy:
kweli wewe mtotowamjini
speaking from experience?
huyo hua ana fantasize havin sex with other women au mkewe hamridhishi...lakini kuota uko na mtu mwingine alafu ni mzuri au mtu uliyekua una hamu usex nae nayo ni tamu :happy:
..so far, this is the only explanation I can have for ur matter...u need serious faith healing, hapo ni maombi tuana pepo/jini mahaba huyo