Msaada: Ndoto za usiku(Nightmares)

Nightmare????
Asante! Kwa hiyo dawa hakuna?unaweza kuvujisha hata deal zako
 
Usiwe unalala kukesha mbona easy tu.
Mkeo akirudi jifanye unaota kama kawaida ongea unampenda mkeo hatari.
 
Usiwe unalala kukesha mbona easy tu.
Mkeo akirudi jifanye unaota kama kawaida ongea unampenda mkeo hatari.
Kaka inaonekana unajua kuandika script za vichekesho.
 
Yeye atalalaje huku anajua hua anaota ufala
 
Pole sana...

Ushajijua unatabia ya kuongea usingizini...

Fanya yale mazuri, jiepushe na yale ya fedheha...

Ili hata ukiongea usingizini uongee yale mazuri...


Cc: mahondaw
hahaha kweli kabisa, aujaze moyo wake na ubongo wake yale mazuri ili usiku ikijitune kwenye Replay mode basi mazuri tu yasikike.
 
niongezee hapo, sio yale tunayofanya kutwa nzima bali hata yale tumeyapanga kuyafanya siku zijazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…