Msaada: Ndoto za usiku(Nightmares)


MMMMHH sio kweli, leo nimeota naongea na BILGATE kuhusu mpango wa kujenga kiwanda cha saruji mbeya, tena kwa sauti. Asubuhi wife kaniambia " ACHA UTOTO" Mi ndio nilikuwa naota naongea na BILGATE
 
MMMMHH sio kweli, leo nimeota naongea na BILGATE kuhusu mpango wa kujenga kiwanda cha saruji mbeya, tena kwa sauti. Asubuhi wife kaniambia " ACHA UTOTO" Mi ndio nilikuwa naota naongea na BILGATE
Ndo maana hapo kwenye mabano niliweka (sio zote)
 
Ukiona ndoto zako hazijakamilika ENDELEA KULALA
Ndoto za usiku usiku huwa kukamilika kwake ni mwisho wa usingizi tu. Na sidhani kama ukilala ubaweza kuota, ila nafikiria ukisinzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…