Mengi wamekushauri, na wengine wamekupa hata mistari ya neno la Mungu. Yote sawa ila namalizia hivi. Ndoto ya kweli ikija kwako, jua kuwa hilo jambo tiyari Mungu kishalishinda.
Mungu hufanya kazi pamoja na watu, haswa wale wampendao. Akikuonesha mtu flani amekufa, hakikisha kuwa unasimama imara na kuikemea hiyo roho ya mauti kwani umeoneshwa umwokoe huyo mtu. Ukiikemea hiyo roho itamwacha hivyo huna haja ya kwenda kumwambia.
Kama ukiota mtu flan anapata ajali, ni Mungu amekuonesha ili ukemee na pia unaweza kwenda kwake, muulize ka amepanga safari akisema ndiyo mwulize umuhimu wa safari hiyo. Kukiwa hakuna ulazima, mwambiye aache kwani umeota vibaya. Akienda na kuipata atakumbuka kuwa ulimwonya.
Kumbuka, nabii hakusi heshima isipokuwa kwa watu wa nyumbani mwake. Wakikudharau si weye umedharauliwa ila aliyekuonesha na kukutuma.
Mungu hufanya kazi pamoja na watu, haswa wale wampendao. Akikuonesha mtu flani amekufa, hakikisha kuwa unasimama imara na kuikemea hiyo roho ya mauti kwani umeoneshwa umwokoe huyo mtu. Ukiikemea hiyo roho itamwacha hivyo huna haja ya kwenda kumwambia.
Kama ukiota mtu flan anapata ajali, ni Mungu amekuonesha ili ukemee na pia unaweza kwenda kwake, muulize ka amepanga safari akisema ndiyo mwulize umuhimu wa safari hiyo. Kukiwa hakuna ulazima, mwambiye aache kwani umeota vibaya. Akienda na kuipata atakumbuka kuwa ulimwonya.
Kumbuka, nabii hakusi heshima isipokuwa kwa watu wa nyumbani mwake. Wakikudharau si weye umedharauliwa ila aliyekuonesha na kukutuma.