Msaada, ndugu yangu ameahirisha mwaka kwa kukosa ada

Msaada, ndugu yangu ameahirisha mwaka kwa kukosa ada

Prezdaa Shaco

Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
46
Reaction score
8
Nina ndugu yangu yupo mwaka wa pili UDSM semester Hii ya tatu amekosa ada na ameambiwa agairishe mwaka kwa kukosa ada.

HOJA ni kwamba yeye hataki kugairisha mwaka mana hata akigairisha mwaka hana uhakika wa kujua Ni lini atapata ada kwa uhakika ili asome mana HESLB (loan board) ameomba zaidi ya Mara tatu na amenyimwa mkopo.

SWALI: Je akienda kuweka kizuizi mahakamani ili amalize Hii semester then atalipa ada akiwa likizo inawezekana? Mana anasoma hicho chuo cha serikali. Au Hamna haki hiyo katika sheria?
 
Ndugu hapo hata kama chuo ni cha serikali kesi mahakamani haitamsaidia mdogo wako. Kuweka zuio kwenye scenario kama hiyo lazima muwekaji awe na LEGITIMATE EXPECTATION, aitha ya kulipiwa ada au ya kumaliza masomo hata kama hujakamilisha ada. hapa ni kwamba chuo kina mamlaka ya kuzuia mwanafunzi asiyelipa ada, na HELSB hawalazimishwi kumlipia mtu, ni hiari yao
 
Ndugu hapo hata kama chuo ni cha serikali kesi mahakamani haitamsaidia mdogo wako. Kuweka zuio kwenye scenario kama hiyo lazima muwekaji awe na LEGITIMATE EXPECTATION, aitha ya kulipiwa ada au ya kumaliza masomo hata kama hujakamilisha ada. hapa ni kwamba chuo kina mamlaka ya kuzuia mwanafunzi asiyelipa ada, na HELSB hawalazimishwi kumlipia mtu, ni hiari yao

Kwahiyo wamshauri afanye mini?
 
Back
Top Bottom