Moaz
Member
- Apr 6, 2018
- 88
- 127
Habari Wakuu
Ninaomba msaada wa kupata daktari wa Jadi ambaye anaweza kumsaidia ndg yangu ambaye kwasasa ni kama amekata tamaa kabisa kutokana na kuhangaika pasina kufanikiwa. Historia yake fupi.
Amefanikiwa kuoa mke ambaye kabla ya mafanikio walikuwa na upendo tu mzuri na maelewano na hivo kufanikiwa kupata watoto ambao waliwalea vizuri na kipindi chote hicho ndg yangu ndio alikuwa ni kila kitu katika familia ghafla akaanza kuwa mgonjwa na kushindwa kutimiza baadhi ya majukumu na hivo ikamlazimu Mkewe aanze kufanya kazi ili kusupport baadhi ya majukumu na hapo ndipo Matatizo yakaanza.
Mke akawa anafanya atakalo watoto wakawa hawamsikilizi Baba yao na yeye hali ikazidi kuwa mbaya kiasi amekuwa kama mtu ambaye ametengwa mbaya zaidi Mke amefikia hatua anakuja na Watu nyumbani na wakionesha mahaba mazito ndugu yangu akiwa hana la kufanya na wala kauli. Na akiwasikia wakitamka wazi kuwa hawezi kupona kwa kuwa Magonjwa aliyo nayo sio ya kutibika Hospitalini na wala hakuna mtu yeyeto yule anayeweza kumtibu katika Dunia hii.
Ni miaka sasa amejaribu kupambana lakni ameshindwa kupata msaada na imefikia hatua ameshaanza kukata tamaa hata ya kupona.
Ombi langu ni kuwa hatujui nini amefanya ima yupo sahihi au yeye ndio chanzo anachoomba yeye ni kupata misaada wa ufumbuzi wa matatizo haya yanayomkabili kama kutakuwa na Mtu ambaye anafahamu mahala popote kule Nchini ambapo anaweza kupata Msaada tutashukuru kwa hilo.
Asanteni
Ninaomba msaada wa kupata daktari wa Jadi ambaye anaweza kumsaidia ndg yangu ambaye kwasasa ni kama amekata tamaa kabisa kutokana na kuhangaika pasina kufanikiwa. Historia yake fupi.
Amefanikiwa kuoa mke ambaye kabla ya mafanikio walikuwa na upendo tu mzuri na maelewano na hivo kufanikiwa kupata watoto ambao waliwalea vizuri na kipindi chote hicho ndg yangu ndio alikuwa ni kila kitu katika familia ghafla akaanza kuwa mgonjwa na kushindwa kutimiza baadhi ya majukumu na hivo ikamlazimu Mkewe aanze kufanya kazi ili kusupport baadhi ya majukumu na hapo ndipo Matatizo yakaanza.
Mke akawa anafanya atakalo watoto wakawa hawamsikilizi Baba yao na yeye hali ikazidi kuwa mbaya kiasi amekuwa kama mtu ambaye ametengwa mbaya zaidi Mke amefikia hatua anakuja na Watu nyumbani na wakionesha mahaba mazito ndugu yangu akiwa hana la kufanya na wala kauli. Na akiwasikia wakitamka wazi kuwa hawezi kupona kwa kuwa Magonjwa aliyo nayo sio ya kutibika Hospitalini na wala hakuna mtu yeyeto yule anayeweza kumtibu katika Dunia hii.
Ni miaka sasa amejaribu kupambana lakni ameshindwa kupata msaada na imefikia hatua ameshaanza kukata tamaa hata ya kupona.
Ombi langu ni kuwa hatujui nini amefanya ima yupo sahihi au yeye ndio chanzo anachoomba yeye ni kupata misaada wa ufumbuzi wa matatizo haya yanayomkabili kama kutakuwa na Mtu ambaye anafahamu mahala popote kule Nchini ambapo anaweza kupata Msaada tutashukuru kwa hilo.
Asanteni