Kwanza Pole Kwa wafiwa, kama kesi Imeshafika kwa Pilato hamna namna.
Cha Kwanza Mambo ya Jembe lake liko huko huko achana nayo kbs, ujue hapo uhai wa mtu umetoka. usije kuwatibua wafiwa.
Hao Wafiwa kuwa Karibu nao ili huyo mwanasheria akiuliza unasema nimeshawaona na pole nimewapa!
Ukifanya hivyo unawarahisishia Kazi Mwendesha Mashtaka na Bw.Pilato. Kaa nao Vizuri Mwanasheria na Bw. Pilato, Sijui Ushanfahamu hapo.? haitakiwi kutoa detail sana kwenye ushauri. Mambo ya Akatae au Akubali watafundishana mbele kwa mbele.