Msaada Ndugu zangu.

Msaada Ndugu zangu.

Kuna watu wanajitoaga ufahamu kweeeli....
 
Kama huu nimtandao wakiutuuzima niupi wakitoto? Mkuu unaelewa unachokisema
sasa unataka kujuzwa afu unabisha,na ukiendlea na ubish wako huu utapgwa ban,ama kurudish uko ig ulikotoka.
mitandao ya kitoto ni ile watu wanajianika,kw public kwa vitu au watu wanaowamiliki.sasa hujaona iyo tofaut,ya uku na uko ig? au unachobish nin.afu marufuk kunijibu kam ulvyonijibu juu hapo.
 
sasa unataka kujuzwa afu unabisha,na ukiendlea na ubish wako huu utapgwa ban,ama kurudish uko ig ulikotoka.
mitandao ya kitoto ni ile watu wanajianika,kw public kwa vitu au watu wanaowamiliki.sasa hujaona iyo tofaut,ya uku na uko ig? au unachobish nin.afu marufuk kunijibu kam ulvyonijibu juu hapo.
Huwezi kunipangia chakuandika. [emoji35] marufuku kunitisha.
 
Salam kwenu.
Naomba kufahamu kwanini jf inawatumiaji wengi ambao majina ya id zao niyautata? Nahawaweki picha zao. Maana ukienda Facebook au Instagram unakuta jina halisi lamtu napicha yake halisi. Lakini huku jf nitofauti. Nataka kujuzwa kwanini. Nataraji majibu sahihi nasimatusi.
Tuanze na wewe unatumia jina halali?
 
Back
Top Bottom