tecnohailali
Senior Member
- May 15, 2017
- 168
- 76
- Thread starter
- #21
Asilimia 100. Nina uhakikauyu kweli akili zakushikiwa una uhakika majina na picha zinazowekwaga fb na IG c fake , utakuwa umetoka kolomije Jana wew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia 100. Nina uhakikauyu kweli akili zakushikiwa una uhakika majina na picha zinazowekwaga fb na IG c fake , utakuwa umetoka kolomije Jana wew
Jina langu ni fake. Nataka kujuakwahiyo wewe hilo jina ni lako sio fake
Aaaah,,,, samahani bnaa nilijua una machungu ya ugali maharage yeny wadudu shuleni…!![emoji23] [emoji23] mkuu huko nilishapita mda
sasa unataka kujuzwa afu unabisha,na ukiendlea na ubish wako huu utapgwa ban,ama kurudish uko ig ulikotoka.Kama huu nimtandao wakiutuuzima niupi wakitoto? Mkuu unaelewa unachokisema
Kina nani haoKuna watu wanajitoaga ufahamu kweeeli....
Huwezi kunipangia chakuandika. [emoji35] marufuku kunitisha.sasa unataka kujuzwa afu unabisha,na ukiendlea na ubish wako huu utapgwa ban,ama kurudish uko ig ulikotoka.
mitandao ya kitoto ni ile watu wanajianika,kw public kwa vitu au watu wanaowamiliki.sasa hujaona iyo tofaut,ya uku na uko ig? au unachobish nin.afu marufuk kunijibu kam ulvyonijibu juu hapo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aaaah,,,, samahani bnaa nilijua una machungu ya ugali maharage yeny wadudu shuleni…!!
kweli we tecno,hailali.Huwezi kunipangia chakuandika. [emoji35] marufuku kunitisha.
Mkuu just jock bana [emoji23]kweli we tecno,hailali.
Hahahaha utani unauwezawakolomije buana
We mjerumani sijakuelewa kabisa
face- sura
book- kitabu
Tuanze na wewe unatumia jina halali?Salam kwenu.
Naomba kufahamu kwanini jf inawatumiaji wengi ambao majina ya id zao niyautata? Nahawaweki picha zao. Maana ukienda Facebook au Instagram unakuta jina halisi lamtu napicha yake halisi. Lakini huku jf nitofauti. Nataka kujuzwa kwanini. Nataraji majibu sahihi nasimatusi.
JibuTuanze na wewe unatumia jina halali?