Msaada ndugu zangu.

Joasi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
766
Reaction score
674
Habari za ahsubuhi ndugu wa jf naomba msaada jamani,mama yangu ni diabetic mellitus kwa mkaka 12 sasa na kwa sasa amepata Eyes problems yaani Haoni mbele also Ana high blood pressure ina range from 190/110 mmHg.naomba ushauri wa nini kifanyike na tulimpeleka CCBRT kwaajili ya Eyes then wakaturudisha maana pressure ilikuwa juu sana...

OMBI :
Naomba msaada wa kimaarifa na drugs na nini kifanyike please tusaidie juu ya hili .Asante.
 
Mpeleke hospitali nyingine. Kuna haja ya kufuatilia hiyo presha yake ili ikae sawa kwanza. Kuna Dr anaitwa Dr Aidan, yuko St Benard (sina hakika na jina la hospital). Wako opposite na ccbrt, kwenye complex ya kkkt, ghorofa ya pili nadhani. Anaweza kukushauri zaidil
 
Inavyoonekana huyo mkaka hajacontrol diabetes yake later complications za diabetes ni kutokuona kwasababu sukari inaharibu mishipa midgo ya damu ya macho na nerves.Inabidi achekiwe sukari yake vipimo na kama bado mwili unatengeneza insulin japo ya kiwango kidogo,kwasababu complication nyingine ya DIABETES TYPE II ni kwamba pancreas inaweza ikaacha kabisa kutengeneza insulin kwahio inabidi apatiwe matibabu ya DIABETES TYPE I ambao wanatemegea kuchoma sindano za insulin kama replacement.Matibabu ya diabetes type I na II ni tofauti.
Kuhusu high blood pressure namshauri aende kwa daktari apatiwe tiba ya aidha betablocks,diuretics,ACE-inhibitors au Calsium antagonists au combination ya groups mbili nilizotaja...
 
Alienda Sua akapewa telmer H 40 kutwa Mara 2 then amilodipine kutwa Mara 1 then ma Gemmer kutwa Mara 2 ,.
Na baada ya kunywa pressure ilikuwa 210/170 Jamani nilihisi kudondoka ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…