KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 739
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha sita ni mwanaume, Nina tatizo la kiafya ambalo linanisumbua kwa zaidi ya miaka 6 sasa.
Sasa hivi nina miaka 19, yaani ni kwenye ngozi yangu ya uso kuna ungaunga flani hunitokea kila wakati.
Mwanzo nlikuwa napakaa tube ya elyvate nilivyomaliza tu ikajirudia tena hali ile ile ambapo ngozi nahisi ka inajivuta vile baadae nkaanza kutumia medivin, Getrison sasa hv natumia Sonadem kama mafuta angu ya uso kwani nikiiacha tu ngozi inatokewa na chunusi na harara nyingi.
Sasa Sonadem imeniathiri kwani nimekuwa mweupe ka nimejichubua na nina mabaka meusi.
Nisaidieni wadau nitumie dawa gani ambayo itarudisha ngozi yangu ya uso sawa.
Sasa hivi nina miaka 19, yaani ni kwenye ngozi yangu ya uso kuna ungaunga flani hunitokea kila wakati.
Mwanzo nlikuwa napakaa tube ya elyvate nilivyomaliza tu ikajirudia tena hali ile ile ambapo ngozi nahisi ka inajivuta vile baadae nkaanza kutumia medivin, Getrison sasa hv natumia Sonadem kama mafuta angu ya uso kwani nikiiacha tu ngozi inatokewa na chunusi na harara nyingi.
Sasa Sonadem imeniathiri kwani nimekuwa mweupe ka nimejichubua na nina mabaka meusi.
Nisaidieni wadau nitumie dawa gani ambayo itarudisha ngozi yangu ya uso sawa.