Msaada Neno - Nalikuacha na Utauwa

Msaada Neno - Nalikuacha na Utauwa

MwendaOmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
774
Reaction score
723
Katika Kitabu cha Tito katika tafsiri ya Swahili Union Version, tunaona vifungu hivi:

Utauwa badala ya Utawa
Nalikuacha badala ya nilikuacha

Kuna yeyote anayeweza kuniambia hizi na lahaja za wapi?
 
Back
Top Bottom