M MwendaOmo JF-Expert Member Joined Dec 16, 2013 Posts 774 Reaction score 723 Dec 16, 2014 #1 Katika Kitabu cha Tito katika tafsiri ya Swahili Union Version, tunaona vifungu hivi: Utauwa badala ya Utawa Nalikuacha badala ya nilikuacha Kuna yeyote anayeweza kuniambia hizi na lahaja za wapi?
Katika Kitabu cha Tito katika tafsiri ya Swahili Union Version, tunaona vifungu hivi: Utauwa badala ya Utawa Nalikuacha badala ya nilikuacha Kuna yeyote anayeweza kuniambia hizi na lahaja za wapi?