Startimes ni television ya malipo sio fta. Hivyo list ya tv zote kwenye Chanel yake zimfungwa ( scrambled). Upo wapilMkoa gani?Tv inayo built in decorder ila channel kwenye list ni za startimes na pia zimekuwa scrambled naambiwa mpaka niwe na cam card. Au kila kampuni inatengeza aina yake ya decoder?
MorogoroStartimes ni television ya malipo sio fta. Hivyo list ya tv zote kwenye Chanel yake zimfungwa ( scrambled). Upo wapilMkoa gani?
Hii hapa ipo play storeView attachment 1823105
Jinga sanaAzam yeye kawekeza zaidi katika soka la bongo, bure kabisaaaa
Malipo yakoje kwa mwezi?Kama wewe ni mpenzi wa mpira ya nje ongeza DSTV.....Tusikariri lazima tuwe na Kisimbusi kimoja.
TBC imepewa mechi gani? Japo nimewahi ona baadhi ya mechi za eplAzam mjanja hataki gharama za kununua mechi zote kama dstv ama espn anatumia zbc2 kupewa mechi kiurahisi... zbc inasomeka kama tv ya taifa zanzibar.. azam anatumia mbinu ya kupewa mechi kama tv ya taifa.. sasa mara nyingi tv ya taifa haipewi mechi zotee.. unapewa chache tu