Msaada: Ni chaneli gani zinazoonesha Euro kupitia king'amuzi cha Azam?

Tv inayo built in decorder ila channel kwenye list ni za startimes na pia zimekuwa scrambled naambiwa mpaka niwe na cam card. Au kila kampuni inatengeza aina yake ya decoder?
Startimes ni television ya malipo sio fta. Hivyo list ya tv zote kwenye Chanel yake zimfungwa ( scrambled). Upo wapilMkoa gani?
 
Azam wajinga tu, wanashindwa kununua kurusha hii league, hata watuambie kununua kifulushi special.
 
TBC imepewa mechi gani? Japo nimewahi ona baadhi ya mechi za epl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…