Msaada: Ni kwa namna gani unamuacha mpenzi wako wa muda mrefu? Unachukua hatua gani akiwa anaongea vibaya kuhusu wewe?

Msaada: Ni kwa namna gani unamuacha mpenzi wako wa muda mrefu? Unachukua hatua gani akiwa anaongea vibaya kuhusu wewe?

niomi

Member
Joined
Jan 7, 2025
Posts
5
Reaction score
8
Habari zenu wana JamiiForums.

Nimekuwa mfuatiliaji wa hili jukwaa kwa muda mrefu lakini kwa sasa nimeamua kujiunga kabisa ili niwe nachangia maoni mbalimbali,

Leo nahitaji maoni yenu kwa wale(wanaume) walioamua kuwapiga chini wapenzi wao wa muda mrefu waliokuwa wamepanga mipango na kuahidiana mambo mengi lakini kwa bahati mbaya hawakufikia malengo kwa sababu tofauti tofauti waliwezaje au walitumia mbinu gani pale walipoamua kuwapiga chini mademu zao halafu hao mademu wakawa wanawazungumzia vibaya kwa watu?

Walichukua maamuzi gani dhidi yao?
 
Ukiona Ex ana ongea mbovu kukuhusu jua bado anakupenda na ime muuma sana kuachwa .just don't give a f*ck
 
Mpotezee mazima usimtafute kabisa wala usimfuatilie au kuview status zake kuwa bize na mambo yako na tafuta demu mwingine mkali zaidi yake tulia nae na ikibidi muoe kabisa tena kwa harusi mchana kweupe uone vile ex atateseka
 
Habari zenu wana JamiiForums.

Nimekuwa mfuatiliaji wa hili jukwaa kwa muda mrefu lakini kwa sasa nimeamua kujiunga kabisa ili niwe nachangia maoni mbalimbali,

Leo nahitaji maoni yenu kwa wale(wanaume) walioamua kuwapiga chini wapenzi wao wa muda mrefu waliokuwa wamepanga mipango na kuahidiana mambo mengi lakini kwa bahati mbaya hawakufikia malengo kwa sababu tofauti tofauti waliwezaje au walitumia mbinu gani pale walipoamua kuwapiga chini mademu zao halafu hao mademu wakawa wanawazungumzia vibaya kwa watu?

Walichukua maamuzi gani dhidi yao?
Ukiachana na mtu mnaachana hujali anazungumza nini.
Kwanini uhangaike kujua anazungumza nini?
 
Tutagawana nyumba za serikali. Mmoja hosp mmoja magereza.

Njoo na nyoko nyoko zako uwe umejipanga
 
ukiona mwanaume unayumbishwa na kutikiswa na maneno ya mwanamke, ujue bado hujakamilika kuwa mwanaume,.....
 
Back
Top Bottom