Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Habari ya muda huu ,natumai mmeamka salama yote anayewezesha kuwepo mpaka muda huu ni Mungu pekee.
Bila ya kwenda mbali, nimeamua kuandika huu uzi kwa lengo la kupata ushauri juu ya ugonjwa huu ambao umekua unajirudia sanaa kwangu pamoja na kutumia madawa kama Ceftriaxone, Ciprofloxacin, Azithromycin na Cephalexin na pia nimekunywa maji japo sio kwa 100% japo kipindi cha hapo majuzi, nilienda kupima wakakuta pus cell zimerange kwenye 2-4.
Hivyo basi naombeni ushauri ni dawa gani nitumie, au ni mimea gani ambao utaweza kutatua hili tatizo ? karibuni wakuu...
Bila ya kwenda mbali, nimeamua kuandika huu uzi kwa lengo la kupata ushauri juu ya ugonjwa huu ambao umekua unajirudia sanaa kwangu pamoja na kutumia madawa kama Ceftriaxone, Ciprofloxacin, Azithromycin na Cephalexin na pia nimekunywa maji japo sio kwa 100% japo kipindi cha hapo majuzi, nilienda kupima wakakuta pus cell zimerange kwenye 2-4.
Hivyo basi naombeni ushauri ni dawa gani nitumie, au ni mimea gani ambao utaweza kutatua hili tatizo ? karibuni wakuu...