Msaada, ni umri gani unafaa kumfundisha mtoto kareti?

Msaada, ni umri gani unafaa kumfundisha mtoto kareti?

Nimepanga uzao wangu wote lazima upitie huu mchezo, huyu mdogo ana miaka 3 kasoro, nimepanga kumpeleka pahala ajifunze
Umri unaofaa ni upi?
Unanishauri nini zaidi?

Unahangaika nini Mkuu... umri unaofaa kumpeleka mwanao,ni umri wa Mfalme wa soka duniani kwa mara ya kwanza kujiunga na Newell’s Old Boys ilikuwa 1994, hapo alikuwa ana umri wa miaka 7

Acha afikishe 7yrs ndipo umpeleke, ni hayo tu
 
Back
Top Bottom